dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Sio diet mzee hiyo ni breakfastiiHii dayati haiwezi kutibu upungufu wa nguvu......?
Sio diet mzee hiyo ni breakfastiiHii dayati haiwezi kutibu upungufu wa nguvu......?
Ndiyo japo njaa inawahi kuumaMlenda wenyewe na ugali unashiba?
Mimi huwa sishibi kabisa sijui nina matatizo gani!Ndiyo japo njaa inawahi kuuma
Inabidi Nile Mara kwa Mara.



Mimi huwa sishibi kabisa sijui nina matatizo gani!







Karibu sana!Nice
Nikiwa na mboga nyingine nashiba ila mlenda pekee nakula hadi nachoka ila sishibi
Kwahiyo unakuwa na mboga ingine???
Mimi ninaweza ongezea na parachichi pembeni Ila baada ya muda kidogo tu njaa inauma tena as if sikula kabisa.

AiseeNikiwa na mboga nyingine nashiba ila mlenda pekee nakula hadi nachoka ila sishibi![]()




Hmm leo umeamua kula kama ndio tiba ya covid?Akhsante
Karibuu na wewe ubwabwa wangu mbaya![]()
Kwa mpemba Gmboto au Tabata?Kwa mpembaView attachment 1473285
Hmm leo umeamua kula kama ndio tiba ya covid?









Kongole kwako!
Halafu naona kitamu tu,nifanyeje sasa![]()
Hii ni kiepe yai mishikaki?