Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
😂😂😂 bora kikosekane kichwa, shingo na mgongo ila sio maini, firigisi na miguu.Hii ilikuja bila maini firigisi wala kichwa(nilichukia sana)
Nahisi miguu itakuwa ulikula wewe
Kuku wako kachinjwa Dar, me niko huku Songea nimekula vipi jamani 😀😀

hatari nmetamani sana gafla ukipata mtu kaziunga fresh unaweza kutamani tusife


