Uzi wa vyakula tu

Karibuni.
IMAG1726_1.jpg
 
Wekeni vyakula jamani, mida ndiyo hii.
Ukitaka cha mvunguni sharti uiname.

Na mimi nataka wa visiwani inabidi tu nipige mbizi japo kwa boti kuja unguja.

Na haya ndio matunda ya muungano wetu na mapinduzi matukufu ya januari 12.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha unaogopa maji nini.

Muungano hauvunjwi


Sent using Jamii Forums mobile app
Swadaktaaa kupanda boti kuja ni jambo zuri ila kumtuma mchumba angu ni jambo zuri zaidi.

Ebu fanya mchakato.

Faida ya muungano
Muungano wetu na udumu milele

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkwe hujachelewa panda boti uje au nimwambie mchumba ako akufate?


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe hali yangu taaaban.

Minyoo inacheza gwaride kama lile la sherehe za mapinduzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa tayari niambie,ntakupa muongozo InshaAllah usijali.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom