witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Nifundishe kupika pizza twin![]()
![]()
Ila Twin kwanini unataka kuniaibisha lakini🤣🤣🤣🤣
Kwanza sijawahi kula hiyo pizza nitajua kuipika kweli?
jomoni twin kila siku nakuona kwenye huu uzi....kwani huwa unajua kupika nini zaidi?Nimependa jibu lako.
No negativity allowed this sideAlways positivityNo negativity allowed this side

Eeeh mamyAlways positivity![]()
![]()
![]()
![]()
jomoni twin kila siku nakuona kwenye huu uzi....kwani huwa unajua kupika nini zaidi?
Ila twin mimi sitaki🤣🤣🤣 uchelewi kuniambia nikuelekeze!!
....twin kwani uko busiest eti?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....twin kwani uko busiest eti?
Haaahaaa .....jomoni unajistukia asee🤣🤣🤣 no Twin ila sitaki kuumbuka ila twin naona unanifanyia interview kijanja

Haaahaaa .....jomoni unajistukia asee![]()
![]()
Am serious huwa nakuona hapa kwenye huu uzi nifundishe na mimi basi![]()
![]()

Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!kama sijisikii kula nikipita humu najikuta nikiona kitu najikuta napata hamu nacho so napika nile.
Halafu huwa unaniona sababu unautembelea huu uzi kimya kimya ehee?
Unataka nikufundishe chakula gani?![]()
Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!
Ila Twin kwanini unataka kuniaibisha lakini
Kwanza sijawahi kula hiyo pizza nitajua kuipika kweli?




Ishhhhh.....chumvi na sukari???Kuandika maelezo sasa!!
Twin hebu niache!! Ungekua serious ningekutumia voice note ya maelezo whatsap
mimi hii nakula nikipika mwenyewe kwa mtu siwezi kuna sehemu nilikuta wameweka chumvi na sukari nilihisi tapika.
...kutapika muhimu asee!Ishhhhh.....chumvi na sukari???![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...kutapika muhimu asee!


kuweka mdomo nilimaliza kwa tabu sana kile chakula!!Itakuwa inna unajua kupika pizza wewe![]()
![]()
![]()
Nilivyo sipendi biriani twinTwin nifundishe kupika biriani yaani huwa linanishinda
....