Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Nilifikiri wanaume wengi hawapendi ndizi.
No ndizi parachichi Mbeya tunakula tu,uponde ,upike,uchome,ukaange ni ndizi tu mapishi tofauti.
Kuna ndizi mkono wa tembo sijawai ona humu.
Ndyali,matoke5,bukoba
Kuna harare tunawapa nguruwe.
Kuna ndizi mabhifu.
Kuna zingine purple sikumbuki jina
 
No ndizi parachichi Mbeya tunakula tu,uponde ,upike,uchome,ukaange ni ndizi tu mapishi tofauti.
Kuna ndizi mkono wa tembo sijawai ona humu.
Ndyali,matoke5,bukoba
Kuna harare tunawapa nguruwe.
Kuna ndizi mabhifu.
Kuna zingine purple sikumbuki jina
Ndizi ni favorite dish yangu, ila nimekulia sehemu hamna ndizi na hata zikipikwa basi chakula cha kike.
 
60527.jpg
 
Back
Top Bottom