Uzi wa vyakula tu

Kuna samaki ziwa nyasa anaitwa mbasa wanyakyusa wakimpika na ndizi ni chakula hasa.
Mbasa watamu sana na Ndizi, siku hizi adimu.wananunuliwa huko huko ziwani kyela au kwa order wameisha.
Tukuyu nilikosa kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…