Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

View attachment 3341143

Mimi na akili yangu na mwili wangu tumechagua kulitumikia tumbooo....πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

No wonder asili yangu ni NaMtumbo...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

No offense pliiiiz, it's just food πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.
Mimi na akili yangu na mwili wangu tumechagua kulitumikia tumbooo....πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
20250402_140703.jpg
Hiki nilikula somewhere kilikuwa kidogo lakini kitamu πŸ˜‹
 
20250522_231712.jpg


Na lake halipooo.....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Yaani kuna vyakula vitamuuu, unakula halafu unakula tena ila njaa haikati....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Hapa tumbo jeupeee wakati dakika 10 zilizopita nimetookaa kuufinya....😒
 
Ni imekuwa ni ugomvi na waifu kila siku, nikingia na hizi kitandani huku naperuzi kishikwambi πŸ˜‚


Kama mnagombea ukuje nazo pakti 4 kila mti na zake.

Kama hapendi uwe unaziweka kwenye sidebed yako unabugia moja baada ya nyingine....

Wacha kesho nikanunue zingine potelea mbali....
 
Back
Top Bottom