Uzi wa vyakula tu

a213fb20276241c436e69f4e7f3c40e1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo,
Inachemshwa tu fresh... Ukipenda iunge na viungo kabisa😁ila huwa inanoga ikichemshwa.
Au kama una steamer, waweza fanya kama alivyosema Hornet .
Steamer atakuta uji,
Hiyo hata kuchemsha haichemshwi.
Maji moto tu,chumvi mafuta kiasi then upishi kitaalam inaitwa blanchering.
Dk 10 unaziopoa.
Zishaiva consistency👌.
 
Steamer atakuta uji,
Hiyo hata kuchemsha haichemshwi.
Maji moto tu,chumvi mafuta kiasi then upishi kitaalam inaitwa blanchering.
Dk 10 unaziopoa.
Zishaiva consistency👌.
atii..................!
yani ni kwamba nachemsha maji ndipo naiweka humo kwa dk 10
si ndo hivo mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom