Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

Kaka Awamu hii vyuma vimekaza
Ujio wa Mbinu Mbadala umeharibu maisha tuliyozoea.
Hatari lakini Salama
Nice to hear from you
Pamoja sana kiongozi...

Tumeambiwa tupambane na hali zetu...

Tutabanana hapahapa mjini, wao ndo wataukimbia mji kwenda kujificha Dodoma.
 
Mabilionea hatuna haja ya makapuku pelekeni njaa zenu kijijini kwenu msituchoshe huku mjini. Hivi hamuoni bilionea mwenzetu Diamond?
 
Duuuhhhh ,, noma sana !! .atakayekua tayar anambie nimpe assist yamtu Wangu wakaribu anamawe sana.
 
Mnapoteza muda wenu, billionaires they only read emails and updating their business status on facebook.
 
Vigezo cha kwanza aweze kukukatia tiketi ya ndege kumfata aliko na advance juu akupe,awe na uwezo wa kununua iphone x ikitoka tu akukabidhi tu
Ukimpa tu kimoja milioni 2 isiwe shida kukupa,,
kuka range iwe kama kakupa vitz
Hahahaha skujui lkn kwa maelezo yako tuu..Hakuna billionea anaeza kufund such a suicide Mission.!!

Sahizi bei ya papuchi original-first class ts so cheap..to the maxmum hata lakionea anaweza kuafford...mtoto mbichiiiii...mlainiiiiii...first to third edition!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom