Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

Jf nzia wamejitokeza wawili tu kweli,,ndio uone wanaume wa humu maskini kutwa kujitapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Au wako siasani nini???
Hawa ambao wakiombwa 20elfu wanakuja kufungua uzi wa masimango!! Umewaonea sana kwa huu uzi mama.
Mabilionea wako busy wanatafuta hela huko. Hawa tunaoshinda nao tukichambana humu ni wenzetu tu.
 
Hawa ambao wakiombwa 20elfu wanakuja kufungua uzi wa masimango!! Umewaonea sana kwa huu uzi mama.
Mabilionea wako busy wanatafuta hela huko. Hawa tunaoshinda nao tukichambana humu ni wenzetu tu.
Haooo haooo,aisee kazi kweli ,,umenichekesha eti wenzetu ahahha una maneno weeee
Wamejitokeza wawili wanaume wa shoka nasubiria matusi yao ntaleta mrejesho
 
Bezikale wenye hera zetu huwa tuko vizuri... Brekifast napata Paris, lunch Tokyo, hapa nipo Moscow napata wine murua..... Karibuni ledz end gentlomen
 
Hivi mabilionea wa jf mpo wapi hebu jitokezeni mnyakue totozi kali,,tumechoka maskini tunataka tuonje ladha ya mabilionea ipoje
Maana huwa tunaona tu humu kila mwanaime ana pesa,ana gari,msomi,ana kazi nzuri,ana biashara nzuri ana nyumba kali?
Jitokezeni hadharani tuwaheshimu sie hatujali hata pesa zimetokana na ujambazi ,ufisadi pesa tamu haijalish imetoka wapi
Huu uzi uwe special kwa mabilionea ambao hawana mawazo ya pesa ndogo ndogo,,makapuku muende makapuku forum kulee
Maisha ndio haya haya ,wadada wa jf wamechoka kupata makapuku wanataka pelekwa visiwa vya ibiza ,,
Wadada wa jf mje hapa mchague mabilionea mtaniuliza ni vigezo gani gani ili ujue huyu hana pesa za mawazo,,tupo hapa kupata raha maisha mafupi
Pia mtupe mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ni zamu yetu
Mtakaojileta eti ooh mapenzi ya kweli sijui nin na nini mapenzi yakweli tushayafanya sana tu mpaka tumechoka,

Ni mim mwenyekiti Mama Sabrina
Katibu wangu ni miss chagga
Haya karibuni wenye jeuri zenu
mabilionea sie tuna vibamia sasa ww umeshazaa naweza nisi enjoy sex halafu hatuna pumz za kukimbizana na watu wazima
tunatafuta watoto wabich labda uniunganishe na sabrina ila sio ww
 
mabilionea sie tuna vibamia sasa ww umeshazaa naweza nisi enjoy sex halafu hatuna pumz za kukimbizana na watu wazima
tunatafuta watoto wabich labda uniunganishe na sabrina ila sio ww
Wee kibamia tulia bana
 
Kwa niaba ya njaa kali wenzangu tunawatakia mafanikio mema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom