Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
- Thread starter
- #201
AhhahahaahahKwa niaba ya njaa kali wenzangu tunawatakia mafanikio mema
AhhahahaahahKwa niaba ya njaa kali wenzangu tunawatakia mafanikio mema
Kukusoma inatosha kabisa mkuu [emoji124] [emoji124]hapa umenisoma tu nataka tudiscuss namna ya kuniona
Unamaanisha Mzee wa tembo nini!Mkuje huku jamani... Wale mnaomiliki meli
HhhhaaaaaaaaaaaaHuu uzi umechelewa sana! Ulitakiwa upost wakat JK yupo madarakani ila zama hizi za Baba Jesca upati hata mamilionea humu jf!
Na wewe unataka Le Bilioneaz ??Hivi wamejitokeza kweli!!!
Ndio uende makapuku forum sasa huku hapakufai[emoji14]Mkuu mbona u atupiga mawe sisi makapuku.
Sio fresh mkuu
Aiseeh hii si poa.Ndio uende makapuku forum sasa huku hapakufai[emoji14]
Ka sijaelewa vileUnamaanisha Mzee wa tembo nini!
Lipi kapuku wanguu[emoji12]
We need real love...apart from that itakuwa ni kama market..ni kuuza na kununua [emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maneno ya makapuku haya[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nadhani hata samaki wangekua na pesa tungeishi majiniNyani wangekuwa na pesa kuna wadada wangekuwa wanaishi porini.
Poleni sana mabint wa zama hizi za mkulu, bibi zenu walitesa sana enzi JK.Nadhani hata samaki wangekua na pesa tungeishi majini