Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,148
- 49,628
Hello
Naombeni connection ya biashara ya urembo accessories Kama hereni..saa..mikanda ile ya wadada..wallet nk..nataka kujua vinapotoka sio kwa Bei ya jumla ya kariakoo
Tafuta mtu Dubai
Hello
Naombeni connection ya biashara ya urembo accessories Kama hereni..saa..mikanda ile ya wadada..wallet nk..nataka kujua vinapotoka sio kwa Bei ya jumla ya kariakoo
Mtu anapatikanajeTafuta mtu Dubai
Sawa dear.. thanksTafuta mtu Dubai
Mtu anapatikanaje
duh!fanya biashara ya mbuzi
nunua tanga huko uzia vingunguti na tafuta wateja wa kwenye mabaa
Biashara nzuri ukitulia nayo na ukiwa ba eneo la kuwahifadhia.
Mbuzi mmoja anaeza kukupa elfu 50 na zaidi, zidisha kwa 10 hapo...
👍Mashuka safii na mazuri ya Mtumba kutoka UK. 100% cotton Size7×8 Wakazi wa dar es salaam unaletewa kwa sh elfu mbili .
Mashuka mawili na Foronya nne tsh 50,000
Shuka moja foronya mbili ni tsh 25,000
Mikoani unatumia kwa gharama ya tsh elfu tano tu.
Namba zetu ni +255655266249 hii inapatikana whatsApp
na kawaida ni hii +255672601301 karibuni.View attachment 1530614View attachment 1530615View attachment 1530616View attachment 1530617View attachment 1530618View attachment 1530619View attachment 1530621View attachment 1530622View attachment 1530623View attachment 1530625View attachment 1530626View attachment 1530627View attachment 1530630View attachment 1530632View attachment 1530633
bei??Tunafanya Human Resources consulting kwa makampuni madogo kwa makubwa.
Nipigie 0763600984 kwa maelezo zaidi
😳Kaka mtu anauziwa open mpka 1ml kukodi 40 per month usicheze kbs
Mtumba?Mashuka safii na mazuri ya Mtumba kutoka UK. 100% cotton Size7×8 Wakazi wa dar es salaam unaletewa kwa sh elfu mbili .
Mashuka mawili na Foronya nne tsh 50,000
Shuka moja foronya mbili ni tsh 25,000
Mikoani unatumia kwa gharama ya tsh elfu tano tu.
Namba zetu ni +255655266249 hii inapatikana whatsApp
na kawaida ni hii +255672601301 karibuni.View attachment 1530614View attachment 1530615View attachment 1530616View attachment 1530617View attachment 1530618View attachment 1530619View attachment 1530621View attachment 1530622View attachment 1530623View attachment 1530625View attachment 1530626View attachment 1530627View attachment 1530630View attachment 1530632View attachment 1530633
Bei kwa mita tafadhali?Mapazia pazia
Unatengenezewa kulingana na
Size ya dirisha lako ama mlango wakoView attachment 2159654
Bei tafadhaliView attachment 2176417
View attachment 2176418
View attachment 2176419
Mosquito killer available
hiki ni kifaa cha kuulia mbu kwa kutumia umeme
0683731404
whatsapp me
Hii ni Special kwa ngozi za KE tu au hata sisi ME.?View attachment 2156901
• Green mask inasaidia kwa watu wenye uso wa mafuta.
*inatoa chunusi
*inatoa vitobo vilivyobaki kwenye uso
*inatoa black heads
Bei 15000