Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
Bei nafuu ndio bei gani? Kuweni serious wakuu
Nani kakuunga kwenye group lake?Mkuu nifungue macho kidogo maana mimi kaniunga had kwenye group lake nisije kupigwa
Ungeweka pichs halisiIncubator ya kutotolesha vifaranga yenye ubora na guarantii.View attachment 2073206
Incubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu.Ungeweka pichs halisi
Safi sanaIncubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu. View attachment 2076529View attachment 2076531
Kienyeji au broilers?Wakuu Hbari,
Nahitaji kuku 50 wa miezi mnne au mitano, waliopewa chanjo zote, Nanunua kwa 10,000 Nipo Kimara Temboni
Kienyeji/sasso au kroillerKienyeji au broilers?
u mkombozi san kwa weng but kunajambo ningependa kukuongezea ka hutojali, but nadhani linatijaNinatoa huduma ya massage kwa akina dada/mama. Ni mobile office unaniita popote utakapo. Either full or half Tsh 30,000 for half an hour and Tsh 50,000 one hour. I am a male.
Dar.
Broiler wa miezi 4?Kienyeji au broilers?
Mkuu sisi wasukuma sio washamba niwakulimaSawa ila idui wengi ni wasukuma washamba tu