IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Saaaaafi umeongea anakadiria mradi tu kuku maliza basi.Kweli wanadanganyana ila ni vizuri pia kutoa suluhisho kwa kuwaelekeza
Lakini Kuna hili la Tra kukurupuka na kujidai wanajua thamani ya kila kitu, naamnini unalijua hilo maana kwenye post yako unasema kama angeagiza machine kubwa tra wasingejisumbua kuangalia thamani yake kwenye simu! , kiufupi una maan kuwa Tra wangemzingua kwa kukadiria kodi isiyolipika ,
kwa hili njia pekee ni wafanya biashara kulalamika kwa Tra ili kusudi kodi ziwe zinalipika,
Sent using Jamii Forums mobile app