mwl rct

  1. Elon Mzebuluni

    Mliowahi kuagiza bidhaa kutoka Marekani kwa kutumia kampuni ya Myus

    Habari wakuu. Poleni na majukumu. Ni mara ya tatu Naagiza bidhaa mbalimbali kutoka ebay kupitia kampuni ya myus. Mara mbili nimepokea bidhaa nilizoagiza bila changamoto yeyote. Mara hii ya tatu bidhaa inaonekana imefika dar es salaam na inaleta meseji ya Clearance delay- import. Clearance...
  2. Oranoo

    IMAGE RECOVERY

    Hello habari zenu,kuna simu yangu imeharibika haiwaki kabisa nahitaji kuzipata picha na documents zangu, naomba mnijuze njia ipi nitumie nizirudishe maana sikusave kwenye Google Drive.
  3. Makirita Amani

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Habari kubwa katika kipindi hichi kwa upande wa fedha na uwekezaji ni cryptocurrency au kama inavyofahamika kwa Kiswahili fedha za kidijitali. Aina hii ya fedha imewavutia wengi siyo kwa sababu ya matumizi yake, bali kwa jinsi thamani yake inavyokua kwa kasi na hivyo wengi kuona ni sehemu rahisi...
  4. Zikwe

    Msaada, laptop yangu inaonyesha 255% available (plugged in)

    Natumia Dell Insparion tatzo lake ni kuonyesha 255% AVAILABLE (PLUGGED IN) Kwenye Icon ya Betri kwa lugha Nyepesi Kwenye alama Ya Betri badala ya Kuonyesha inachaji na Asilimia Zake ndo inaonyesha Hizo asilimia 255%, Nimejaribu Kuupdate driver Lakini imeshindikana Na Pia Nina Betri mbili moja Ni...
  5. dubu

    Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

    Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) ilianzishwa kwa Sheria ya Bunge na 11 ya mwaka 1995, na ilianza kufanya kazi tarehe 1 Julai 1996. TRA ndio wahusika wa mambo yote yanayohusisha kodi mbalimbali za Serikali Kuu na Ushuru mbalimbali. Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matatizo mbalimbali...
  6. N

    Nimesahau password ya account yangu ya email ya Google

    Nimesahau password ya account yangu ya email niliyokuwa nikitumia miaka miwili iliyopita. Nahitaji kuitumia tena lakini nimesahau password.
  7. Rumi96

    Msaada kwenye Excel

    Wakuu, habari ya wakati huu! Nimeapply formula ya Concatinate nikaweka semi colon kama alama ya kuseparate data ambazo zimekuwa combined. Yaani =CONCA(A4,";"B4,";",C4,";",D4). Nimefanikiwa ila baadhi ya cell zipo blank nataka cell zilizo blank semi colon isitokee, msaada tafadhali. Maama semi...
  8. Nyiluka

    Flash disk haionekani kwenye PC

    Naomba kujua nifanyaje, flash disk yangu nikiingiza kwenye PC haioneshi chochote (Yaani kama sijaweka kitu). Au ndio ya kutupa tena ishafikia mwisho wake?
  9. mtakahela

    Tupeane mbinu kuhusu fursa za kibiashara zilizopo kwenye utalii

    Habari za majukumu wahangaikaji wenzangu! Naomba kufunguliwa zaidi kimawazo kwa wale wenye kujua biashara ya utalii inavyoendeshwa. Naona fursa ipo kwenye utalii ila nashindwa kutumia. Natamani kutumia rasimali zilizopo kufanikisha jambo hili, mfano kutafuta watalii na kuwaunganisha na...
  10. Singida ndio home

    MSAADA: SCRAPPING WEBSITE DIRECTORIES

    Nimehangaika sana na hii ishu kwa leo, kuna website ya vichekesho inaitwa ackyshar.com shida yangu ninachotaka ni scrape i links za directoriy ya vichekesho vichelesho vipo kwenye directory hii "www.ackyshine.com/vichekesho" links zake ni kama "www.ackyshine.com/vichekesho:ajira-ngumu"...
  11. Rwaz

    Anayejua kutafsiri tracking ya mzigo anisaidie hapa

    Heshima kwa kila mdau.Humu ndo sijawai kukosa jibu. Niliagza mzigo ali express. Nimeambatanisha screenshot ya status. Sikuelewa mzgo umeshikiliwa au la.
Back
Top Bottom