dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) ilianzishwa kwa Sheria ya Bunge na 11 ya mwaka 1995, na ilianza kufanya kazi tarehe 1 Julai 1996.
TRA ndio wahusika wa mambo yote yanayohusisha kodi mbalimbali za Serikali Kuu na Ushuru mbalimbali.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matatizo mbalimbali yanayopaswa kutolewa ufafanuzi na TRA kwani kuna maafisa mbalimbali wa TRA hapa ambao wanaweza kutoa msaada au watu ambao wamewahi kupata issues kama hizo wakakupa mwanga.
Zingatia
Kutaja aina ya bidhaa inayotakiwa kulipiwa ushuru au aina ya huduma husika
Karibuni
TRA ndio wahusika wa mambo yote yanayohusisha kodi mbalimbali za Serikali Kuu na Ushuru mbalimbali.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matatizo mbalimbali yanayopaswa kutolewa ufafanuzi na TRA kwani kuna maafisa mbalimbali wa TRA hapa ambao wanaweza kutoa msaada au watu ambao wamewahi kupata issues kama hizo wakakupa mwanga.
Zingatia
Kutaja aina ya bidhaa inayotakiwa kulipiwa ushuru au aina ya huduma husika
Karibuni