Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Mfano upo kwe mahusiano na mtu wako mnaishi pamoja bila kufata utaratibu inafika kipindi watu wanaanza kusema sio tabia njema mwanamke anaamua kwenda kupanga lakini mnapendana xana nini kinaweza kutokea apoh
 
Mfano upo kwe mahusiano na mtu wako mnaishi pamoja bila kufata utaratibu inafika kipindi watu wanaanza kusema sio tabia njema mwanamke anaamua kwenda kupanga lakini mnapendana xana nini kinaweza kutokea apoh
Not bad Ila out of laws
 
Jinsia: Me
Mrefu, Mweusi, mwili wa wastani.
Age: 32
kazi: Mwajiriwa Serikalini.

Mwanamke Ninae Mhitaji.
Age: Umri asidhidi 40
Awe anapenda familia na tayari ku settle.
Asiwe Mlevi..
Mwenye kujishughulisha.


Karibu PM
Utpata ukiwa umechoka mkuu
 
emoji17.png
niko low sana .Naomba someone matured jinsia yoyote, umri kuanzia 35 na zaidi nimsimulie ili nitoe nyongo ,maana namimi ni mtu mzima sana
Ukipendezwa waweza kukaribia..
 
Umri; 35+
Kazi; Biashara
Elimu; Chini ya mti (Elimu mitaani)
Naishi; Dsm

Nna watoto wawili wapo kwa aunt yao huko

Nataka mchepuko wa mikasi maana sitaki kuoa tena baada ya kuzinguliwa na mama watoto wangu
 
Habari za wasaa huu!
Hey Ladies and Gentlemens hapa nataka kila Me/Ke atoe location au codes mfano Useme hivi.
Mimi ni Me
Nipo Dodoma Mjini
Mtaa wa Area C near NAM Hotel

Au
Mimi ni Ke
Nipo Iringa Mjini
Mahali Kihesa
Toa na mtaa

Kama ni kijijini useme pia labda
Mimi Ke
Nipo Tanga Muheza
Sehemu Amani
Kijiji cha Ndole and so on

Toa taarifa muhimu watu watalike nakuja PM. Kama unatafuta mwenza aliye karibu yako hii itarahisisha. Mambo yatakuwa mepesi

Note: Hii ni kwa ajili ya watu wanamind distance wengine kumdate mtu yuko mtwara na yeye yuko Kigoma ni ishu kwa that distance matters
Mwanaume nipo Dar Bunju
 
Habari za wasaa huu!
Hey Ladies and Gentlemens hapa nataka kila Me/Ke atoe location au codes mfano Useme hivi.
Mimi ni Me
Nipo Dodoma Mjini
Mtaa wa Area C near NAM Hotel

Au
Mimi ni Ke
Nipo Iringa Mjini
Mahali Kihesa
Toa na mtaa

Kama ni kijijini useme pia labda
Mimi Ke
Nipo Tanga Muheza
Sehemu Amani
Kijiji cha Ndole and so on

Toa taarifa muhimu watu watalike nakuja PM. Kama unatafuta mwenza aliye karibu yako hii itarahisisha. Mambo yatakuwa mepesi

Note: Hii ni kwa ajili ya watu wanamind distance wengine kumdate mtu yuko mtwara na yeye yuko Kigoma ni ishu kwa that distance matters
Mwanaume nipo Dar Bunju
 
Niko makini mwenyekiti ngoja niwalete
Wewe tu ushindwe mwenyewe

Mimi nakutaka Katibu. Nipo Lushoto Tanga. Ni mkulima, na pia mlinzi wa kwenye maduka ya wafanyabiashara wakubwa hapa Lushoto. Umri wangu ni miaka 71. 🙄
 
Back
Top Bottom