gift carlos
Member
- Sep 3, 2019
- 11
- 3
Mfano upo kwe mahusiano na mtu wako mnaishi pamoja bila kufata utaratibu inafika kipindi watu wanaanza kusema sio tabia njema mwanamke anaamua kwenda kupanga lakini mnapendana xana nini kinaweza kutokea apoh
Not bad Ila out of lawsMfano upo kwe mahusiano na mtu wako mnaishi pamoja bila kufata utaratibu inafika kipindi watu wanaanza kusema sio tabia njema mwanamke anaamua kwenda kupanga lakini mnapendana xana nini kinaweza kutokea apoh
Utpata ukiwa umechoka mkuuJinsia: Me
Mrefu, Mweusi, mwili wa wastani.
Age: 32
kazi: Mwajiriwa Serikalini.
Mwanamke Ninae Mhitaji.
Age: Umri asidhidi 40
Awe anapenda familia na tayari ku settle.
Asiwe Mlevi..
Mwenye kujishughulisha.
Karibu PM
All the bestUmri:30
Elimu:stashahada
Makazi:dar
Kazi:mtumishi wa umma
Nimejenga Nyumba kubwa ina kila kitu tatizo upweke nipo naishi na mfanyakazi tu
Karibu.
I like thisUmri: 30
Makazi: Dar
Elimu: Standard 7
Kazi: ......
Gari: sina
Pesa: sina ila nitapata siku zijazo
Jinsia: Me
M
I like this
M
I like this
Ahsante kwa hii feedback mkuu
Iv mpaka leo bado haujapata tuuu jamanAisee mimi namba B nakuja kujaribu bahati pia
Mchangamke sasa tule pilau la harusi...M
I like this
Ukipendezwa waweza kukaribia..niko low sana .Naomba someone matured jinsia yoyote, umri kuanzia 35 na zaidi nimsimulie ili nitoe nyongo ,maana namimi ni mtu mzima sana
Mwanaume nipo Dar BunjuHabari za wasaa huu!
Hey Ladies and Gentlemens hapa nataka kila Me/Ke atoe location au codes mfano Useme hivi.
Mimi ni Me
Nipo Dodoma Mjini
Mtaa wa Area C near NAM Hotel
Au
Mimi ni Ke
Nipo Iringa Mjini
Mahali Kihesa
Toa na mtaa
Kama ni kijijini useme pia labda
Mimi Ke
Nipo Tanga Muheza
Sehemu Amani
Kijiji cha Ndole and so on
Toa taarifa muhimu watu watalike nakuja PM. Kama unatafuta mwenza aliye karibu yako hii itarahisisha. Mambo yatakuwa mepesi
Note: Hii ni kwa ajili ya watu wanamind distance wengine kumdate mtu yuko mtwara na yeye yuko Kigoma ni ishu kwa that distance matters
Mwanaume nipo Dar BunjuHabari za wasaa huu!
Hey Ladies and Gentlemens hapa nataka kila Me/Ke atoe location au codes mfano Useme hivi.
Mimi ni Me
Nipo Dodoma Mjini
Mtaa wa Area C near NAM Hotel
Au
Mimi ni Ke
Nipo Iringa Mjini
Mahali Kihesa
Toa na mtaa
Kama ni kijijini useme pia labda
Mimi Ke
Nipo Tanga Muheza
Sehemu Amani
Kijiji cha Ndole and so on
Toa taarifa muhimu watu watalike nakuja PM. Kama unatafuta mwenza aliye karibu yako hii itarahisisha. Mambo yatakuwa mepesi
Note: Hii ni kwa ajili ya watu wanamind distance wengine kumdate mtu yuko mtwara na yeye yuko Kigoma ni ishu kwa that distance matters
Niko makini mwenyekiti ngoja niwalete
Wewe tu ushindwe mwenyewe
Asante babu ila siwezi kuwa KatibuMimi nakutaka Katibu. Nipo Lushoto Tanga. Ni mkulima, na pia mlinzi wa kwenye maduka ya wafanyabiashara wakubwa hapa Lushoto. Umri wangu ni miaka 71. 🙄