Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Sifa zangu
Umri:28
Elimu:Masters of science in Cyber security and Digital Forensic
Kazi : soldier & lieutenant
Makazi :dar & Moshi
Dini:Mkristo & msabato
Kabila:Mnyakyusa & mweusi fran ivi na mwembamba ila nitanenepa mda wowote ule
Sifa za mke
Dini: Mkristo lakini msabato atapewa kipaombele
Kazi:awe mchapa kazi ,mweupe,mnene kiasi asiwe mrefu sana ,shepu shepu napenda tako ,msafi na mzuri
Umri:20-25
Soldier $ lieutenant
 
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
kwa sifa hizo pekee utakua umenipata namba yangu 0627880133 Tuwasiliane naona unaelekea kuendana na mimi
 
Tako lina fleva yake .... ukiongozana na demu mwenye tako siyo tu kujiamini kuna ongezeka lakini nguvu za kiume zinakuwepo outomatic(nyege)
tako ilolo linalokupa Nyege pia mabaharia wa mtaani na mashemeji zake limawapa Nyege vile vile.
The circle continue😂🤣😂
 
Back
Top Bottom