Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Umri wangu 38 mtoto mmoja natafuta mtu mzima mwenzangu tumalizie maisha yaliyobaki umri 37-45. Nimeajiliwa serikalini. Dini yangu mkristo. Mme wa mtu sihitaji.
 
Umri wangu 38 mtoto mmoja natafuta mtu mzima mwenzangu tumalizie maisha yaliyobaki umri 37-45. Nimeajiliwa serikalini. Dini yangu mkristo. Mme wa mtu sihitaji.
Kigezo Cha kutohitaji MME wa mtu ndo kimenipiga KO, otherwise natamani Nije pm tuyajenge vizur
 
nawasogoezea single mother mmoja, π•’π•Ÿπ•’ π•žπ•₯𝕠π•₯𝕠, 𝕨𝕒 π•œπ•šπ•œπ•– π•žπ•žπ• π•›π•’ π•₯𝕦

young and beautiful

age yake 27 yrs old

kabila msukuma

π’Žπ’–π’π’π’†π’Œπ’‚π’π’
οΏ½π‘šπ‘Ÿπ‘’π‘“π‘’, π‘šπ‘€π‘’π‘’π‘π‘’... π‘ π‘–π‘œ π‘šπ‘›π‘’π‘›π‘’

π’†π’π’Šπ’Žπ’–: π’Œπ’Šπ’…π’‚π’•π’ 𝒄𝒉𝒂 4

𝒂𝒏𝒂𝒕𝒂𝒇𝒖𝒕𝒂 π’Žπ’˜π’†π’π’›π’‚, π’–π’Žπ’“π’Š π’Œπ’–π’‚π’π’›π’Šπ’‚ π’Žπ’Šπ’‚π’Œπ’‚ 40 𝒕𝒐 45
anapenda zaidi mwenza wake awe mwanajeshi.

nichek 0683011003 nikuunganishe
 
umri:27yrs

kaz: muajiriwa

dini:mkristo

natafuta mwanamke wa ku enjoy nae maisha
awe na miaka 18-25

kama upo interested n pm
 
Umri : 24
Elimu: degree
Nipo dar
Natafuta sugar mammy, nataka mwanamke mtu mzima anayependa mambo yetu ya kitandani,. Pesa sio kigezo kikubwa cha muhim kuridhishana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…