Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,327
- 69,561
Wewe ushapata?Subiri wanakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ushapata?Subiri wanakuja.
Nkiki kyalema mae?Tchaaaaa.......apaaaa womiiiiiii.........
Wayiiiiii........
Kigezo Cha kutohitaji MME wa mtu ndo kimenipiga KO, otherwise natamani Nije pm tuyajenge vizurUmri wangu 38 mtoto mmoja natafuta mtu mzima mwenzangu tumalizie maisha yaliyobaki umri 37-45. Nimeajiliwa serikalini. Dini yangu mkristo. Mme wa mtu sihitaji.
Sasa si utulie na mkeo mkuu, tabia mbaya au ndiye mwenye nacho huongezewaπ€Kigezo Cha kutohitaji MME wa mtu ndo kimenipiga KO, otherwise natamani Nije pm tuyajenge vizur
Mwenye nacho huongezewa, hata kwenye dini tunaambiwa tuone adi Wake 4 tukiweza, njoo wew financial services ue mke wa piliSasa si utulie na mkeo mkuu, tabia mbaya au ndiye mwenye nacho huongezewaπ€
Anataka kuleta migogoro ya ndoa huyuMwenye nacho huongezewa, hata kwenye dini tunaambiwa tuone adi Wake 4 tukiweza, njoo wew financial services ue mke wa pili
Mie tayari nishapata kiongozi na mlezi wa maisha yangu,Wewe ushapata?
Hongera sana dada. Ukitaka mchepuko nipo hapa.Mie tayari nishapata kiongozi na mlezi wa maisha yangu,
Hadi pingu za maisha tayari. Napambana na maisha ya ndoa.
Ooooh hapo sasa.Hongera sana dada. Ukitaka mchepuko nipo hapa.
Natania tu mkuuOoooh hapo sasa.
Naelewa naelewa chaliii,Natania tu mkuu
Aaah mkuu umenionea bure tu,mi niko serious sana, vipi wewe ushapata babe kama bado tubonge basi nikuprove wrong
Ninazo nyingi sana mpaka nimezichokaLocation Qatar, Doha
Umri 27
Natafuta Pili Kali wa kuchati naye tu
Tafuta ela dogo.umri:27yrs
kaz: muajiriwa
dini:mkristo
natafuta mwanamke wa ku enjoy nae maisha
awe na miaka 18-25
kama upo interested n pm