Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

natafuta mwanamke wa kuoa
umri awe 18-25
nipo Dar

sms, call, whatsapp 0759330110
 
Hapo kwenye kukaa mwaka ni bila kula mzigo au? /
Age:27
elim:diploma in business administration
Kazi: sina( guaranteed kupata within 3 months)
makazi:dsm
Dini:sina

Mke
Age:20-24
Dini:yoyote
Elim: kuanzia form4
Kabilaote

Face to face interview itatoa uamuzi wa mwisho.
Tutakaa mwaka kwenye mahusiano kwanza
 
Leo ndio nimeona uzi huu ngoja nijaribu
Umri: 27
Elimu : degree
Kazi: Manager McFs
Jinsia: Me
Ndoa: 2021
Location: Pwani
Status: single sina

Ninayemtaka:
Umri : 18- 27
Kabila: sukuma, kurya, muha n.k
Elimu: at least form 4
 
Umri: 23
Elimu: Degree
Sina mtoto
Natafuta : sugar mamy
Nipo dar
Jamani msicheke wala kukebehi kila mtu na akipendacho maisha yenyewe mafupi aya. Tuelewe kila binadamu ni tofauti na matamanio ni tofauti kama wewe unapenda nyama usituponde tunaopenda samaki.
 
Umri _26
Elimu_Diploma
Sina mtoto
Dini _mkristo
Jinsia_ ME
Kazi mjasiliamali na mwanaharakati za kimaendeleo
Nipo Arusha, mwanamke ninaetafuta umri miaka 18hadi 22.awe black beuty au maji ya kunde,elimu yoyote.awe na akili ya biashara.nitampenda Kama ninavyompenda mama yangu,na hatajutia kuwa na Mimi. awe mwembamba na mwili wa kati
 
Umri. 26
Kazi«mjasiliamali
Makazi«mwanza
Above 18 atleast form 4.
Mchapakazi, mchamungu.
Mengine tutavumiliana.
 
Back
Top Bottom