Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,377
- 205,773
Mpaka leo bado hatujamuona wala kumsikiaKwahiyo baadaye mlimuona?
Mpaka leo bado hatujamuona wala kumsikiaKwahiyo baadaye mlimuona?
kama kunamtu anajua ab's za chimbuko l hiyo nchi tafadhaliNetherlands View attachment 1572097
hatuiogopi hiyo miaka maana hatuwezi tukakutana na Yale mambo ya watu wasiojulikanaKumbuka ana miaka 17, angalau angefikisha 18.
Huyo ni mtoto, aliyempoteza ajiandae kuoga miaka 30 au maisha
Naachaje sasaInaanzaje sasa kula kwako tena?
Bado tu hujaacha kujiongeza mpaka unamwagikia?
Hahah! Yeye ndio hajapotea ila nyumbani kwao kapotea
vitu vingine ni kuwasumbua tu police.Kuna dada wa kazi alipotea bila kuaga basi kwenda police kutoa taarifa wakasema "kaendeleeni na mambo mengine huyo yupo sehemu salama"
Huyo atarudi mwenyewe nyumbaniKumbuka ana miaka 17, angalau angefikisha 18.
Huyo ni mtoto, aliyempoteza ajiandae kuoga miaka 30 au maisha
Andaeitini kwenye ubora wakoHuyo atarudi mwenyewe nyumbani
Watoto wa siku hizi miaka 17 vilishakua vimetuzidi hadi sisi dada zao wenye 25
Andaeitini kwenye ubora wako
Yes yes yohHiiih! Wewe acha tu
Heheh! Taarifa ni muhimu sana maana huko alipokwenda huwezi kujua atapata matatizo gani, pia lawama za ndugu kama hivyo. Sasa kama taarifa zipo sehemu ya usalama basi inasaidia usalama wako vile vile....vitu vingine ni kuwasumbua tu police.
Sisi alishawahi kupotea na nyumbani kwao hawatuelewi kabisa...wacha tusugue miguu kumtafuta mitaa na mitaa.