The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,965
- 45,350
πππππDada zao hatuna ujasiri wa kupotea lakini wao wanapotea namna hiyo
πππππDada zao hatuna ujasiri wa kupotea lakini wao wanapotea namna hiyo
Watoto wa siku hizi mwendokasi hatari
Wana spidi na maisha utasema kuna cha maana hukoWatoto wa siku hizi mwendokasi hatari
YaaniWana spidi na maisha utasema kuna cha maana huko
ππ acha bhana, unakuwa unaona kama mwaka hautaki kuisha ili wewe umalize shule.!Yaani
Ila sio kosa lake,shule ya form3 huwa inachosha sana.
Unaona kama humalizi hivi
Hapa kuna mtu ana kesiAnaitwa Asia Nurdini.
Umri miaka 17.
Anasoma kidato cha 3.
Ametoweka tangu sep 15 2020.
Mkaazi wa Bomang'ombe
Kama utamuona wasiliana na wazazi
Kwa namba
0657235323 Nirdini MajaroView attachment 1572061
π π πKuna dada wa kazi alipotea bila kuaga basi kwenda police kutoa taarifa wakasema "kaendeleeni na mambo mengine huyo yupo sehemu salama"
π€£π€£π€£π€£! Jamani jamaniWana spidi na maisha utasema kuna cha maana huko
Kwamba dada zao mnafanya Go and Return wakati wao wanafanya One way?Dada zao hatuna ujasiri wa kupotea lakini wao wanapotea namna hiyo
Go and return yenyewe hatujawahi wallah dunia inaenda kasi sanaKwamba dada zao mnafanya Go and Return wakati wao wanafanya One way?
Yaaniacha bhana, unakuwa unaona kama mwaka hautaki kuisha ili wewe umalize shule.!
Acha bhana πGo and return yenyewe hatujawahi wallah dunia inaenda kasi sana