Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

.
FB_IMG_1560357577946.jpeg
 
Asante mwalimu wa mavumbini, ila kila siku asubuhi upite kumwaga shikamoo kama shukurani ya kukuokota jalalani na kukuweka mahali hapa
_" Mhemiwa JamiiForum sikutegemea heshima hii toka kwako, mimi ni nani? Nimezaliwa kijiji cha vumbi, nimeishi maisha ya ufukara na baada ya kustaafu sikutegemea nitakuwa hapa lakini wewe na Mungu wako mnajua kwanini mmenitoa jalalani na nikawepo humu kwenye hii forum na kunifikisha hapa"
 
Back
Top Bottom