The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,965
- 45,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
_" Mhemiwa JamiiForum sikutegemea heshima hii toka kwako, mimi ni nani? Nimezaliwa kijiji cha vumbi, nimeishi maisha ya ufukara na baada ya kustaafu sikutegemea nitakuwa hapa lakini wewe na Mungu wako mnajua kwanini mmenitoa jalalani na nikawepo humu kwenye hii forum na kunifikisha hapa"
Asante mwalimu wa mavumbini, ila kila siku asubuhi upite kumwaga shikamoo kama shukurani ya kukuokota jalalani na kukuweka mahali hapa
Ntazinywa Aisee!Keep 1 or 2 bottles of Coca-Cola or Pepsi in the Kitchen.Should a sudden fire occur, just open the bottle,shake it quickly & spray on to the fire.Please share this to everyone you know.You might save someone's life.
Yaani basi tu waliotunga hizo syllabus sijui waliwaza niniJamani
Kutumbua na kutumbuliwa...
Hivi hayo maswali yalikuwa na umuhimu gani? Bongo bana
Uliskiliza leo alivyoongea Kwa redio?! 😂😂Aiseee
My dear Wife How are You?Yaani basi tu waliotunga hizo syllabus sijui waliwaza nini
Bibi yule ana maneno machafu sanakunakipindi pia alimtukana Sana mchungaji sijui Nani yuleUliskiliza leo alivyoongea Kwa redio?!
Kila ledi hapa anadai ni fulati sikirini. Ina maana kwenye sredi hii yote hakuna mwenye wezere hata mmoja? Whati izi zisi?
Flat screen
Kuguna vepe?!Mngh!
KiruBibi yule ana maneno machafu sanakunakipindi pia alimtukana Sana mchungaji sijui Nani yule
Kila ledi hapa anadai ni fulati sikirini. Ina maana kwenye sredi hii yote hakuna mwenye wezere hata mmoja? Whati izi zisi?