Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 98
- 109
Kwema wana jukwaa mko njema
Mimi,ni muhanga wa kukosa ajira nakuja mbele yenu kupewa muongozo kwa wajuzi wa mtaani
Ni jinsi gani mbinu,gan wanatumia kupata riziki ya kila siku na kutimiza majukumu mbalimbali kama chakula kodi na mambo mengine
Nahitaji connection ya mchongo wowote niko dsm
Contact 0745000157
Mimi,ni muhanga wa kukosa ajira nakuja mbele yenu kupewa muongozo kwa wajuzi wa mtaani
Ni jinsi gani mbinu,gan wanatumia kupata riziki ya kila siku na kutimiza majukumu mbalimbali kama chakula kodi na mambo mengine
Nahitaji connection ya mchongo wowote niko dsm
Contact 0745000157