Uwongo wa "camera 360"

Uwongo wa "camera 360"

Sasa toka lini mchumba akapatikana kwenye kioo
 
Aisee kuna hii apllication kwenye simu za android inaitwa camera 360 inatudanganya saana kwenye mitandao ya jamii hususani instagram ... Na whatsapp ..mtu anaweka picha anang'aa vibaya mno ..lakini njoo kutana nae sasa ..vitu viwili tofauti ..
Its better to be really .. Tutakimbiana kwenye issue ya appointment .
Ni ushauri tu .v

Pole kwa mnaodanganyika na picha!!!
 
heeeeeeeeeeeeee! hii yako kali zaidi naomba uniambie inauzwaje nami hiyo na uzee nilionao itanifaa zaidi
ipo application nyingine inaitwa kirobapp yaani kikongwe cha miaka mia unakiona kama ki tineja
 
Kuna app ya camera moja kwenye lumia inaitwa nokia glam me, ni balaa. Mtu bonge inakufanya uwe mwembamba kama miss

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

Hahaha. Hiyo ndo noma. Hasa kwa wale kina miss bantu.
 
Kuna moja inaitwa PambApp, hata kama umevaa taulo unaonekana umekula gucci au fendi suit
 
Aisee kuna hii apllication kwenye simu za android inaitwa camera 360 inatudanganya saana kwenye mitandao ya jamii hususani instagram ... Na whatsapp ..mtu anaweka picha anang'aa vibaya mno ..lakini njoo kutana nae sasa ..vitu viwili tofauti ..
Its better to be really .. Tutakimbiana kwenye issue ya appointment .
Ni ushauri tu .v
mkuu mambo mengine chukulia poa 2 kama ajakuvutia mwambia uko tofauti camera ilinidanganya bye
 
Back
Top Bottom