Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Aisee kuna hii apllication kwenye simu za android inaitwa camera 360 inatudanganya saana kwenye mitandao ya jamii hususani instagram ... Na whatsapp ..mtu anaweka picha anang'aa vibaya mno ..lakini njoo kutana nae sasa ..vitu viwili tofauti ..
Its better to be really .. Tutakimbiana kwenye issue ya appointment .
Ni ushauri tu .v
Its better to be really .. Tutakimbiana kwenye issue ya appointment .
Ni ushauri tu .v