ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,459
- 5,420
Uwanja wa CCM KIRUMBA unabeba Watu zaidi ya 35,000 lakini cha kushangaza kuna matundu manne 4 tu ya vyoo ambapo vyooni hamna maji.
Sehemu ya kukojoa kwa Wanaume mifereji imejaa mikojo na harufu kali.
Mikojo na vinyesi vimetapakaa sehemu nyingi na uwezekano wa kuambukiza magonjwa ya mlipuko kama Kipindupindu.
Natoa wito kwa uongozi wa uwanja huu kuzingatia afya zetu wapenzi wa soka kwa kuongeza vyoo na kuweka maji pia kuzingatia kanuni nyingine za afya.
Picha: Mtandao
Sehemu ya kukojoa kwa Wanaume mifereji imejaa mikojo na harufu kali.
Mikojo na vinyesi vimetapakaa sehemu nyingi na uwezekano wa kuambukiza magonjwa ya mlipuko kama Kipindupindu.
Natoa wito kwa uongozi wa uwanja huu kuzingatia afya zetu wapenzi wa soka kwa kuongeza vyoo na kuweka maji pia kuzingatia kanuni nyingine za afya.
Picha: Mtandao