Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Kua mdini ni kitu kimoja na kuzungumzaia uelewa wa wenye dini ni kitu Kingine
Kukataa kwamba eti Tanzania hatuna dini ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba Muslims majority lands Ndio kuna umaskini wa kutisha mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba most of Muslims are STD 7 you try to hide from your own shadow
Kupinga kwaba zaidi ya waislamu kutokana na ujinga wetu na umaskini wetu zaidi ya 80% tutapigia kura CCM
Kilimanjaro. Mbeya. Kagera. Musoma. Manyara etc are most Christian lands
Most of them are well educated and wealthy community
So they will vote against CCM
Kama ungekuambunifu angalia hata wanaosapoti CCM katika mitandao ya kijamii wengi wao ni Akina
Ali
Abdala
Mustafa
Hasan
etc
Ni ukweli uliomgumu kuumeza
Zanzibar 99% ni waislam vipi ccm huko inakubalika eeh? Huko mara zote ccm inapata ushindi wa kishindo?
 
Zanzibar 99% ni waislam vipi ccm huko inakubalika eeh? Huko mara zote ccm inapata ushindi wa kishindo?
Zanzibari sio kama wanapinga CCM Bali Wazanzibari wanataka mamlaka katika nchi yao
CCM kule Zanzibar haina chake Kadri siku zinavyozidi kwenda Ndio inapoteza mvuto maana
 
Back
Top Bottom