Huyu aliyetupeleka mbele magoti ya nini?Huyo mkwere katurudisha nyuma sana.Nchi ilikuwa inaibiwa na hajui
Huyu aliyetupeleka mbele magoti ya nini?Huyo mkwere katurudisha nyuma sana.Nchi ilikuwa inaibiwa na hajui
Zanzibar 99% ni waislam vipi ccm huko inakubalika eeh? Huko mara zote ccm inapata ushindi wa kishindo?Kua mdini ni kitu kimoja na kuzungumzaia uelewa wa wenye dini ni kitu Kingine
Kukataa kwamba eti Tanzania hatuna dini ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba Muslims majority lands Ndio kuna umaskini wa kutisha mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba most of Muslims are STD 7 you try to hide from your own shadow
Kupinga kwaba zaidi ya waislamu kutokana na ujinga wetu na umaskini wetu zaidi ya 80% tutapigia kura CCM
Kilimanjaro. Mbeya. Kagera. Musoma. Manyara etc are most Christian lands
Most of them are well educated and wealthy community
So they will vote against CCM
Kama ungekuambunifu angalia hata wanaosapoti CCM katika mitandao ya kijamii wengi wao ni Akina
Ali
Abdala
Mustafa
Hasan
etc
Ni ukweli uliomgumu kuumeza
Zanzibari sio kama wanapinga CCM Bali Wazanzibari wanataka mamlaka katika nchi yaoZanzibar 99% ni waislam vipi ccm huko inakubalika eeh? Huko mara zote ccm inapata ushindi wa kishindo?