Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Swali nalojiuliza hivi na wenzetu wengine nao pia huwa wanajadili jinsi walivyofanywa watumwa kama sie waafrika au ni sie tu?
 
Kila kitu unachokitegemea sasa hivi kimetokana na efforts za wazungu katika kufikiri zaidi.

Jiulize hivi haya magari tunayotumia yametoka wapi,viwanda vya nguo,simu,ndege,internet ns mengine mengi.

Kwa namna yoyote ile sisi waafrika hatuwezi kujilinganisha na wazungu hata siku moja.

Ikitokea bahati mbaya ukaumwa Leo halafu ukapelekwa Mhimbili ikashindikana basi hapo ndo utajua kwamba wazungu ni wazungu tu.

Sasa hivi umekaa unaingia JF kutokana na wazungu kutuletea mambo ya internet.

Amini usiamini bila hawa wazungu sisi waafrika tungekua gizani mpaka Leo maana hakuna nchi ya Africa iliyoweza kubuni maswala ya umeme.
Poor thnkng capacity....the human brain work under a great pressure of problems. Hata wasingekuja through problems inovation would happen. Hata wazungu wanalijua hilo thats y they try Hard to make sure hatujitegemei.
 
Usiangalie utumwa kwa miwani ya Dini. Binadamu sio bidhaa muuzaji na mtesaji wote Lao moja. Waarabu waliua na kuhasi wanaume ndiyo maana watu weusi hawapo huko, tunaona hadi leo jinsi weusi wanavyonyanyaswa uarabuni kuliko hata uzunguni.

Nchi kama Argentina weusi ni almost hawapo hata wakusingiziwa umewahi kujiuliza kwanini? Mbona nchi zote za karibu na Argentina Zina weusi maelfu kwa malaki iweje Argentina?

Argentina ni taifa pekee katika Amerika ya Kusini lililo na weusi wachache sana. Hawa jamaa ingawa tunawashabikia sana kwenye mpira lakini hawakuwa na huruma kwa mtu mweusi. Hawa walikuwa na sera maalum ya kuondoa weusi katika nchi yao.
Kwa mujibu wa maelezo ya kihistoria, Waafrika wa kwanza kufika katika Argentina katika karne ya 16 mwishoni mwa katika eneo sasa linaitwa Rio de la Plata, ambayo ni pamoja Buenos Aires. Kufikia karne ya 18 na mapema karne ya 19, Waafrika weusi walikuwa wengi katika maeneo ya Argentina, takwimu zinaonyesha waliweza kufikia hadi nusu ya idadi ya watu katika baadhi ya mikoa, ikiwa ni pamoja Santiago del Estero, Catamarca, Salta na Córdoba.
Kama nilivyoeleza hapo mwazo kulikuwa na sera maalum za kutokomeza mtu mweusi. Kwanza walihakikisha katika vita watu weusi wanakuwa mstari wa mbele huku wakiwapatia vifaa duni vya kupigana nahivyo ni wachache sana waliokuwa wanasalimika vitani. Mfano mzuri ni vita ya Argentina na Paraguay ya 1865-1870.
Pia kulikuwa na wanawake wachache sana wenye asili ya kiafrika na ambaowanaolewa na wazungu hivyo wale jamaa zangu weusi wakaona bora kusepa na kwenda Brazil na Uruguay ambako walikuwa kwa kiasi fulani walionyesha ukarimu kwao.
Kama hilo halitoshi mtawala wa Agentina anaeitwa Domingo Faustino Sarmiento (1868 hadi 1874) alianzisha sera ya mauaji ya halaiki kisiri kupitia sera za ukandamizaji sana (ikiwa ni pamoja uwezekano wa kuajiri Waafrika kwa kulazimishwa katika jeshi na kwa kulazimisha weusi kubaki katika vitongoji ambapo kulikuwa na magonjwa mengi na kukosekana kwa huduma za afya za kutosha)
Hii taarifa ni kwa Hisani ya:
Blackout: How Argentina ‘Eliminated’ Africans From Its History And Conscience
 
Argentina ni taifa pekee katika Amerika ya Kusini lililo na weusi wachache sana. Hawa jamaa ingawa tunawashabikia sana kwenye mpira lakini hawakuwa na huruma kwa mtu mweusi. Hawa walikuwa na sera maalum ya kuondoa weusi katika nchi yao.
Kwa mujibu wa maelezo ya kihistoria, Waafrika wa kwanza kufika katika Argentina katika karne ya 16 mwishoni mwa katika eneo sasa linaitwa Rio de la Plata, ambayo ni pamoja Buenos Aires. Kufikia karne ya 18 na mapema karne ya 19, Waafrika weusi walikuwa wengi katika maeneo ya Argentina, takwimu zinaonyesha waliweza kufikia hadi nusu ya idadi ya watu katika baadhi ya mikoa, ikiwa ni pamoja Santiago del Estero, Catamarca, Salta na Córdoba.
Kama nilivyoeleza hapo mwazo kulikuwa na sera maalum za kutokomeza mtu mweusi. Kwanza walihakikisha katika vita watu weusi wanakuwa mstari wa mbele huku wakiwapatia vifaa duni vya kupigana nahivyo ni wachache sana waliokuwa wanasalimika vitani. Mfano mzuri ni vita ya Argentina na Paraguay ya 1865-1870.
Pia kulikuwa na wanawake wachache sana wenye asili ya kiafrika na ambaowanaolewa na wazungu hivyo wale jamaa zangu weusi wakaona bora kusepa na kwenda Brazil na Uruguay ambako walikuwa kwa kiasi fulani walionyesha ukarimu kwao.
Kama hilo halitoshi mtawala wa Agentina anaeitwa Domingo Faustino Sarmiento (1868 hadi 1874) alianzisha sera ya mauaji ya halaiki kisiri kupitia sera za ukandamizaji sana (ikiwa ni pamoja uwezekano wa kuajiri Waafrika kwa kulazimishwa katika jeshi na kwa kulazimisha weusi kubaki katika vitongoji ambapo kulikuwa na magonjwa mengi na kukosekana kwa huduma za afya za kutosha)
Hii taarifa ni kwa Hisani ya:
Blackout: How Argentina ‘Eliminated’ Africans From Its History And Conscience
Mkuu hata Australia wakazi wa asilia walikuwa aboriginals ambao kwa saa hivi wanaishi kama 2nd class citizens
 
Bado kuna watu wanaabudu hao hao wazungu kama miungu yao na wako humu ndani, tukisema wanatuibia, kuna mabwege nyumbu bado wanaona wazungu ndio kila kitu kwao!!
Acha watutawale tu, hakuna namna, unakuta wanaume kumi mnaburuzwa na mzungu mmoja ambaye wala hana silaha lakini mko kimya tu, unakuta wanaume wenye akili zao wamembeba mzungu mmoja ambae wala hana silaha kisha mnampleka anapotaka tena mnapita maporini kisha mnamfikisha salama kabisaaa. OK tuyaache hayo ya kale tuje sasa, mzungu anakuja anachimba madini yako kisha anakutumika ananufaika anasema hajapata faida kwa hiyo hawezi kukupa kitu akimaliza anasepa kwao anakuachia mashimo.
 
Mzungu ni mbaya sana ndie katufanya kuwa masikini na sasa kaamia kwa waarabu kuwasaka juuu ya ugaidi Mzungu hafai
 
Argentina ni taifa pekee katika Amerika ya Kusini lililo na weusi wachache sana. Hawa jamaa ingawa tunawashabikia sana kwenye mpira lakini hawakuwa na huruma kwa mtu mweusi. Hawa walikuwa na sera maalum ya kuondoa weusi katika nchi yao.
Kwa mujibu wa maelezo ya kihistoria, Waafrika wa kwanza kufika katika Argentina katika karne ya 16 mwishoni mwa katika eneo sasa linaitwa Rio de la Plata, ambayo ni pamoja Buenos Aires. Kufikia karne ya 18 na mapema karne ya 19, Waafrika weusi walikuwa wengi katika maeneo ya Argentina, takwimu zinaonyesha waliweza kufikia hadi nusu ya idadi ya watu katika baadhi ya mikoa, ikiwa ni pamoja Santiago del Estero, Catamarca, Salta na Córdoba.
Kama nilivyoeleza hapo mwazo kulikuwa na sera maalum za kutokomeza mtu mweusi. Kwanza walihakikisha katika vita watu weusi wanakuwa mstari wa mbele huku wakiwapatia vifaa duni vya kupigana nahivyo ni wachache sana waliokuwa wanasalimika vitani. Mfano mzuri ni vita ya Argentina na Paraguay ya 1865-1870.
Pia kulikuwa na wanawake wachache sana wenye asili ya kiafrika na ambaowanaolewa na wazungu hivyo wale jamaa zangu weusi wakaona bora kusepa na kwenda Brazil na Uruguay ambako walikuwa kwa kiasi fulani walionyesha ukarimu kwao.
Kama hilo halitoshi mtawala wa Agentina anaeitwa Domingo Faustino Sarmiento (1868 hadi 1874) alianzisha sera ya mauaji ya halaiki kisiri kupitia sera za ukandamizaji sana (ikiwa ni pamoja uwezekano wa kuajiri Waafrika kwa kulazimishwa katika jeshi na kwa kulazimisha weusi kubaki katika vitongoji ambapo kulikuwa na magonjwa mengi na kukosekana kwa huduma za afya za kutosha)
Hii taarifa ni kwa Hisani ya:
Blackout: How Argentina ‘Eliminated’ Africans From Its History And Conscience
Naelewa hili Nilitaka huyu bwana wakuitwa Malyenge anayebisha kwamba waarabu hawakuhusika kwenye biashara ya watumwa simply sababu Hakuna weusi siku hizi huko kwao ajiulize pia kuhusu Argentina ndio apate jibu.
 
Usiangalie utumwa kwa miwani ya Dini. Binadamu sio bidhaa muuzaji na mtesaji wote Lao moja. Waarabu waliua na kuhasi wanaume ndiyo maana watu weusi hawapo huko, tunaona hadi leo jinsi weusi wanavyonyanyaswa uarabuni kuliko hata uzunguni.

Nchi kama Argentina weusi ni almost hawapo hata wakusingiziwa umewahi kujiuliza kwanini? Mbona nchi zote za karibu na Argentina Zina weusi maelfu kwa malaki iweje Argentina?
Nipe Somo Kwann Argentina hamna weusi
 
Inatakiwa tutawaliwe tena ili tupate akili za kutosha, waarabu walikuwa wanawahasi na kuwaua waafrika ndiyo maana ni wachache uarabuni
Nadhani mleta uzu hakijui hili. Waarabu waliaasi na kuwaua karibu wote weusi na ndio maana huwaoni today
 
Pamoja na historia hii mbaya kuna waafrica leo hii wanadiriki kwenda kwenye nchi za urabuni mfan saudia rabia kufanyishwa kazi za ndani nadhani wanawa bp waarabu kama wameshaacha utesaji
Wakati wao wamekimbia nchi wanawaacha mafisadi yakiendelea kuuharibu uchumi wetu ili hal ni boraiwangebaki wakapambana kuidai keki yao hapa hapa sababu ukikimbia unateseka na ukibaki unateseka
 
Huyu aliye tufanya hivi zamani ndiyo huyu tunaye mtetemekea leo
 
Yani Mkuu CHIBU hawa watu sio kabisa.Eti wamissionary walikuja kutangaza ukristo halaf nawashangaa sana wakristo wenzangu Yesu mwenyewe hakubebwa na watumwa tunadangwanywa tu babake Ukristo tayar ulishakuwepo maeneo ya Africa hata kabla ya Africanos jemedari wa kirumi hajapigana na Ethiopia na ndipo jina la Africa lilipoanza wadanganyane wao
 
Ndio unamuona Magufuli angalau anatushtua kwamba tunaibiwa hadi kwenye mchanga, alafu kamtu kama katundu lisu kanakuja na porojo zake kwamba watatushtaki? Bado kana akili ya kitumwa haka!
 
Dah! Inasikitisha sana, ndio maana watu wa zamani hawawapendi wazungu
 
Islam neither ignores nor condemns slavery. In fact, a large part of the Sharia is dedicated to the practice.

Muslims are encouraged to live in the way of Muhammad, who was a slave owner and trader. He captured slaves in battle; he had sex with his slaves; and he instructed his men to do the same. The Quran actually devotes more verses to making sure that Muslim men know they can keep women as sex slaves (4) than it does to telling them to pray five times a day (zero).

Quran
Quran (33:50) - "O Prophet! We have made lawful to thee thy wives to whom thou hast paid their dowers; and those (slaves) whom thy right hand possesses out of the prisoners of war whom Allah has assigned to thee" This is one of several personal-sounding verses "from Allah" narrated by Muhammad - in this case allowing a virtually unlimited supply of sex partners. Other Muslims are restricted to four wives, but they may also have sex with any number of slaves, following the example of their prophet.
Quran (23:5-6) - "..who abstain from sex, except with those joined to them in the marriage bond, or (the captives) whom their right hands possess..." This verse permits the slave-owner to have sex with his slaves. See also Quran (70:29-30). The Quran is a small book, so if Allah used valuable space to repeat the same point four times, sex slavery must be very important to him. He was relatively reticent on matters of human compassion and love.

Quran (4:24) - "And all married women (are forbidden unto you) save those (captives) whom your right hands possess." Even sex with married slaves is permissible.

Quran (8:69) - "But (now) enjoy what ye took in war, lawful and good" A reference to war booty, of which slaves were a part. The Muslim slave master may enjoy his "catch" because (according to verse 71) "Allah gave you mastery over them."

Quran (24:32) - "And marry those among you who are single and those who are fit among your male slaves and your female slaves..." Breeding slaves based on fitness.

Quran (2:178) - "O ye who believe! Retaliation is prescribed for you in the matter of the murdered; the freeman for the freeman, and the slave for the slave, and the female for the female." The message of this verse, which prescribes the rules of retaliation for murder, is that all humans are not created equal. The human value of a slave is less than that of a free person (and a woman's worth is also distinguished from that of a man).

Quran (16:75) - "Allah sets forth the Parable (of two men: one) a slave under the dominion of another; He has no power of any sort; and (the other) a man on whom We have bestowed goodly favours from Ourselves, and he spends thereof (freely), privately and publicly: are the two equal? (By no means😉 praise be to Allah.' Yet another confirmation that the slave is is not equal to the master. In this case, it is plain that the slave owes his status to Allah's will. (According to 16:71, the owner should be careful about insulting Allah by bestowing Allah's gifts on slaves - those whom the god of Islam has not favored).
 
Daah hizi picha zinasisimua na kutia hasira. Jamaa walikuwa na roho mbaya hawa.
Kutokana na ushabiki wa kidini watu wanaona sawa tu...... Uarabuni ni jangwa tupu... Watumwa waende Uarabuni kufanya nn wakati huo. Waarabu wamepata pesa baada ya kugunduliwa mafuta ambapo wakati huo utumwa ushapigwa marufuku. Biashara ya watumwa Hakuna iliemuacha. Machifu wa kiafrika walivamia makabila dhaifu na kuwateka. Waarabu waliwanunua na kuwauza kwa wafaransa amba
 
Back
Top Bottom