Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Ila babu zetu nao walikua wanazingua sana ni picha kama hizi huwa zinafanya nitilie Shaka uwezo wa akili wa mtu mweusi. Hapo kuna picha mizungu imebebwa na weusi wengi walishindwa kuwabwaga chini na kuwaua kweli! Unakuta mzungu mmoja au wawili wanaenda kwenye kijiji na kutawala kijiji kizima na weusi bado wakakubali. Mzungu mmoja anatembea huku amezingirwa na weusi kibao kama walinzi na makuli wake bila ya kumfanya kitu huyo mzungu au kumuua kabisa. Smh
 
Umenena vyema mkuu...hii picha UMEELEWA SANA MKUU....
.
2b4b01c43c6c11e7f728f036391a1589.jpg
 
Wewe ni muislam? Ubaya wa utumwa ni mateso tu kuuza sio kubaya? Muuazaji na mtesaji wote Lao moja binadamu sio bidhaa. Waarabu walikua wakiua na kuhasi wanaume ndiyo maana kizazi cha watu weusi kikapotea mashariki ya Kati jiongeze.
Sikumaanisha ulivyofikiri. Katika maekezo mengi tunayopata juu ya utumwa haujapata kugusiwa japo kwa uchache ubaya wa wazungu. Huwa wanatajwa waarabu tu. Hata historia ya shule ya msingi kuhusu utumwa haimgusi mzungu. Ndio hoja yangu iko hapo.
 
Siyo kwa asilimia ndogo, tangu lini mfanyabiashara akabaki na bidhaa dukani? Labda imefikia expiry date...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
What I know ni kwamba waarabu walikuwa wakiwauza watumwa kwenda kwenye yenye demand za cheap kama plantations(Vitu ambavyo uarabuni havipo)
Na hata hao waliofanikiwa kufika Bara Arabu hawakupewa nafasi ya kuzaana. Kizazi chao kilipotezwa, kwa hiyo si kwamba lilikuwa jambo jema, bali lilikuwa jambo baya zaidi kwa walioenda Uarabuni.
 
Na hata hao waliofanikiwa kufika Bara Arabu hawakupewa nafasi ya kuzaana. Kizazi chao kilipotezwa, kwa hiyo si kwamba lilikuwa jambo jema, bali lilikuwa jambo baya zaidi kwa walioenda Uarabuni.
Utumwa ulifanywa na wazungu. Naona mada unaielekeza kwa waarabu tu.
 
Ila babu zetu nao walikua wanazingua sana ni picha kama hizi huwa zinafanya nitilie Shaka uwezo wa akili wa mtu mweusi. Hapo kuna picha mizungu imebebwa na weusi wengi walishindwa kuwabwaga chini na kuwaua kweli! Unakuta mzungu mmoja au wawili wanaenda kwenye kijiji na kutawala kijiji kizima na weusi bado wakakubali. Mzungu mmoja anatembea huku amezingirwa na weusi kibao kama walinzi na makuli wake bila ya kumfanya kitu huyo mzungu au kumuua kabisa. Smh
Ukiuwa hao wawili linakuja jeshi kuuwa kijiji kizima. Chini Mkwawa alijitoa mhanga sana
 
Ila babu zetu nao walikua wanazingua sana ni picha kama hizi huwa zinafanya nitilie Shaka uwezo wa akili wa mtu mweusi. Hapo kuna picha mizungu imebebwa na weusi wengi walishindwa kuwabwaga chini na kuwaua kweli! Unakuta mzungu mmoja au wawili wanaenda kwenye kijiji na kutawala kijiji kizima na weusi bado wakakubali. Mzungu mmoja anatembea huku amezingirwa na weusi kibao kama walinzi na makuli wake bila ya kumfanya kitu huyo mzungu au kumuua kabisa. Smh
Hapa unaongelea waarabu ama wazungu? Maana wengi wamelishwa kasa kwamba utumwa ni biashara ilifanywa na waarabu tu. Ukimzungumzia mzungu kuhusu biashara ya utumwa watu hawasikii uchungu kama akizungumziwa mwarabu.....
 
Hizi picha leo zimewaaibisha watu wanaodhani waliotesa watumwa ni waarabu. Tumeona wazungu ndio vinara wa kutesa na kutumikisha. Mwarabu alibeba bidhaa kisha akawauzia wazungu. Na wazungu wakawatesa na kuwatumikisha watumwa. Na waliobisha au kuleta ujuaji walinyongwa na wazungu na si kunyongwa na waarabu......!!!

Ni ulimbukeni kuangalia swala zima lla utumwa na hata ubaguzi wa rangi kwa miwani ya kidini! Hao wazungu na waarabu ni wale wale! Wewe mweusi mkristo ukienda baadhi ya nchi Ulaya ambazo ni za kikristo bado utabaghuliwa tu kutokana na rangi ya ngozi yako licha ya ukristo wako! Vivyo hivyo, wewe muislamu ukienda baadhi ya nchi za Arabuni ambazo ni za kiislamu bado utabaghuliwa tu kutokana na rangi ya ngozi yako licha ya uislamu wako!

Hivyo, usimbague nduguyo kwa misingi ya kiimani huku ukimkweza mgeni kwa misingi ya kiimani!!!
 
Inatakiwa tutawaliwe tena ili tupate akili za kutosha, waarabu walikuwa wanawahasi na kuwaua waafrika ndiyo maana ni wachache uarabuni
MKWEPA KODI NA UENDELEE KUTAWALIWA WEWE NA KIZAZI CHAKO MILELE YOTE MAANA KINYWA CHAKO KIMETAMKA NA IWE KWAKO TU NA KIZAZI CHAKO....AMUN RA
 
Inatakiwa tutawaliwe tena ili tupate akili za kutosha, waarabu walikuwa wanawahasi na kuwaua waafrika ndiyo maana ni wachache uarabuni
weka picha mkuu ilikuthibitisha maneno yako., eti walikuwa wana wahasi na kuwauwa waafrika ili wapate faida gani..!?? yani mapicha yote uliyo wekewa hapo yanavyoonyesha wazungu walivyokuwa wanawauwa wazee wetu ila hutaki kuamini..! hivi chuki dhidi ya waarabu itaisha lini..??
 
HAWA WATU WALIONYANYASA MABABU NA MABIBI ZETU ROHO ZAO ZIFE MILELE YOTE! AMUN RA
 
Ningejua wapi nitazipata Bunduki ningewakata vichwa wazungu wote!! wallah tena....
 
Hapa unaongelea waarabu ama wazungu? Maana wengi wamelishwa kasa kwamba utumwa ni biashara ilifanywa na waarabu tu. Ukimzungumzia mzungu kuhusu biashara ya utumwa watu hawasikii uchungu kama akizungumziwa mwarabu.....
Biashara ya utumwa ilifanywa na wote na athari zake ni zile zile. Historia inaeleza vizuri kabisa na waarabu ndio walikua wakwanza kuanza biashara hii kabla wazungu hawajaja bdae kabisa. Uchungu na athari ni zile zile
 
Mara ooooh waarabu waliwahasi weusi ndio maana hawako Arabuni mara oooh waliwaua.... we bhana acha chuki na waarabu. Aliyekwambia maneno hayo ni nani? Au babu yako alikuhadithia jinsi alivyohasiwa? Na alikuhadithia lini na wapi?
 
Back
Top Bottom