REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,896
Nachukia sana biashara hii lakini nikilinganisha muarabu na mzungu bora mzungu sababu pia ndio aliyemkomesha muarabu kuendelea baada ya industrial revolution sababu warabu ni mabongolala tu kama waafrika bado walikua wanaendelea na biashara hii sababu ya uduni wa technology.Kwa Asilimia kubwa Whites nDio wali play part kubwaaa sana ktk Biashara hii, Maana ht mikataba ya ukomeshwaji wa biashara hii ilikua Campaigned na Whites kutokana na Gharama za uzalishaji wa Bidhaa ktk viwanDa kuwa nDogo kwa Baadhi ya mataifa mf Ufaransa ambao nguvu kazi kubwa ilikua ni Slaves, ila Uingereza iliona Itaingia Hasara zaidi kwakua walikua washaanza matumizi ya mashine ktk viwanDa na hivyo ikahofia kupigwa Bao ktk soko la Dunia kwakua Ufaransa ingenufaika zaiDi ktk uuzaji kwa kuuza kwa Bei rahisi zaidi kuliko UK...
So In short Utumwa umefanyika mpk kipinDi ambacho hawa wtu walipoona Inatosha, Pengine Isingekua maendeleo ya sayansi na teknolojia Bsi utumwa ungeenDelea kwa miaka mingi zaiDI Mpk hata karne ya 20 Mwishoni au hata zaiDilI