Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Sikumaanisha ulivyofikiri. Katika maekezo mengi tunayopata juu ya utumwa haujapata kugusiwa japo kwa uchache ubaya wa wazungu. Huwa wanatajwa waarabu tu. Hata historia ya shule ya msingi kuhusu utumwa haimgusi mzungu. Ndio hoja yangu iko hapo.
Mkuu nina mashaka na elimu yako. Una uhakika historia ya shule ya mdingi haijagusia ubaya wa mzungu kwenye biashara ya utumwa?
 
Hahahahaha Mkuu mm hawa watu siwapendi na sijawai kuwaamini basi tu ni njaa zetu zinatusumbua.

Kuna nchi sasa hv nipo huku wanajifanya wema na wastaraabu, nikiangalia hizi picha natamani nilipize.
Mkuu hata mwaafrika ana roho mbaya vile vile sio hao tu wazungu na waarabu.
 
uzuri wa mzungu sio mnafiki anakili hatakama alikutendea mabaya na nimtunzaji mzuri wa historia,lakini hakuna mtu mbaya na mnafiki kama mwarabu kwanza anakudumaza kifikra wewe utaendelea kuwa mtwana wake mpaka unakufa,lakini mzungu yeye na manyanyaso yake yote atahakikisha unastawi ili uendelee kumtumikia kwa ufanisi..kama umepitia kwa ufasaha baadhi ya michango hapo unaona kuna mdau katoa sababu za kwanini waafrika sio wengi uarabuni
Kwa mawazo kama hayo halafu unataka mtu mweupe asikubague!!
 
Hakuna utumwa mbaya kama kumlazimisha mtumwa afanye matendo ya kishoga!Mbaya zaidi waarabu walileta ushoga!angalia sehemu walizoishi ushoga &ubasha ni jambo la kwaida sana!
Mzungu anayekwambia ukubali ndoa za mashoga bila hivyo hakupi misaada ni nani analazimisha ushoga?
 
Nachukia sana biashara hii lakini nikilinganisha muarabu na mzungu bora mzungu sababu pia ndio aliyemkomesha muarabu kuendelea baada ya industrial revolution sababu warabu ni mabongolala tu kama waafrika bado walikua wanaendelea na biashara hii sababu ya uduni wa technology.
Mzungu kakomesha utumwa kwa sababu ya upendo au kwa faida zake mwenyewe huko?

Halafu hao waarabu bongolala mbona wao sio masikini kama mwaafrika ambaye ana kila aina ya utajiri na bado masikini?
 
Ndo maana nikimuona mwarabu bongo naskia kinyaa

I wish I could be Igp
Binaadamu mwenzako unamuona kinyaa halafu nyie nyie ndio mnalalamika kubaguliwa,sasa we unafikiri huyo mtu mweupe we anakuonaje?

Karibu kila jamii ilifanywa utumwa,sasa wewe hadi leo kuendelea kumchukia muarabu ni matatizo yako na ndiyo maana hatuendelei.
 
Ila babu zetu nao walikua wanazingua sana ni picha kama hizi huwa zinafanya nitilie Shaka uwezo wa akili wa mtu mweusi. Hapo kuna picha mizungu imebebwa na weusi wengi walishindwa kuwabwaga chini na kuwaua kweli! Unakuta mzungu mmoja au wawili wanaenda kwenye kijiji na kutawala kijiji kizima na weusi bado wakakubali. Mzungu mmoja anatembea huku amezingirwa na weusi kibao kama walinzi na makuli wake bila ya kumfanya kitu huyo mzungu au kumuua kabisa. Smh
Wanafiki na vibaraka hadi leo bado tunao ktk maisha ya kawaida....mnaweza kupanga jambo zuri kw manufaa ya wengi lkn anawazunguka wenzake na kwenda kutoa siri. Ndvyo ilivyokuwa wkt huo, wapo ambao hawakupenda kbs lkn walipogundulika waliteswa sana na kunyongwa hadharani ili kuwatisha wengne!
 
Tunatofautiana kuelewa mkuu .. Ungekuwa unasoma na kuelewa nilichokiandika wala usingekuja kuandika huu uharo wako hapa hata sijui umeniquote kwa sababu zipi.
Huwezi kuelewa kwa sababu hata we mwenyewe ulichoandika hukielewi.
 
Hao wazungu waliotutawala hawana tofauti na wanachotufanyia ccm
 
Mkuu hata mwaafrika ana roho mbaya vile vile sio hao tu wazungu na waarabu.
Ni kweli mkuu ila Waafrika wengi tunasumbuliwa na uroho, Majungu, Wivu, Fitina na Unafiki ukiongeza na njaa zetu zinaleta roho mbaya
 
Watumwa waliokwenda Arabuni wanaume walihasiwa ili wasiendeleze uzao ndiyo sababu kubwa ta kutoona weusi wengi wenye asili ya utumwa Arabuni. Marekani watumwa waliachwa wazaliane pamoja na manyanyaso lakini hawakuhasiwa ndiyo maana tunawaona niger mpaka leo
Ebwana kiongozi unao ushahidi yakinifu juu ya madai yako ? Je unayo hata picha ya bahati mbaya ili kutilia nguvu madai yako,yaani kama picha alizozitoa mtoa mada ?

Yaani unayo picha za waarabu wakiwatesa waafrika ? Yaani mfano wa picha kama alizowasilisha mtoa mada sio michoro ?
 
Na hata hao waliofanikiwa kufika Bara Arabu hawakupewa nafasi ya kuzaana. Kizazi chao kilipotezwa, kwa hiyo si kwamba lilikuwa jambo jema, bali lilikuwa jambo baya zaidi kwa walioenda Uarabuni.
Kiongozi embu tupatie ushahidi wa kielimu juu ya uyasemayo ili nasisi tupate faida,maneno tupu hayatoshi katika suala kama hili.
 
Mzungu kakomesha utumwa kwa sababu ya upendo au kwa faida zake mwenyewe huko?

Halafu hao waarabu bongolala mbona wao sio masikini kama mwaafrika ambaye ana kila aina ya utajiri na bado masikini?
Waarabu ni nafukara wa kutupwa kama waafrika ndio mana wanaishia kufa kwenye bahari ya Mediterranean kukimbilia ulaya
 
Huu uzi unaonyesha baadhi wachangiaji wanasumbuliwa na "mental slavery" bila wao kujijua wanatoana makoromero wakati wenzetu bado hawatuheshimu wanatuibia makinika.
 
Waarabu ni nafukara wa kutupwa kama waafrika ndio mana wanaishia kufa kwenye bahari ya Mediterranean kukimbilia ulaya
Waarabu gani unao wazungumzia wewe? unakusudia waarabu hawa hawa ambao dada zetu huenda huko kwao kuwafanyia kazi za ndani?
 
Tumetoka mbali, Asante kwa waliotupigania kwa uhuru ila laana ziwaendee hawa viongozi wetu wanaoendelea kutunyanyasa....

Nmeangalia hizi picha roho imeniuma sana
 
Waarabu ni nafukara wa kutupwa kama waafrika ndio mana wanaishia kufa kwenye bahari ya Mediterranean kukimbilia ulaya
Ndugu usipendelee kudanganya parcent kubwa ya watu wale wanaokufa mediterranean sea ni watu wanaotoka ghana, naijeria nk na mlango wao mkubwa ni libya wa kuingilia europe.
Na kama unataka kusema kuhusu warabu wa syria wameondoka kwao kwasababu ya vita tuu na wala si umaskini........ umenipata..
 
Back
Top Bottom