Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Acha bange. Hujaelewa namaanisha nini? Mlikuwa mnatudanganya eti mwarabu pekee alihusika na kutesa watumwa...leo tumeona wenyewe picha....wazungu wanatesa na kunyonga weusi. Usijifanye hunielewi...
Wewe ni udini unakusumbua

Hakuna cha Mzungu wala Mwarabu wote wasenge tu wana roho mbaya............Endelea kusifia ujinga
 
Wewe ni udini unakusumbua

Hakuna cha Mzungu wala Mwarabu wote wasenge tu wana roho mbaya............Endelea kusifia ujinga
Kwa mara ya kwanza wewe umekuwa mkweli. Hapo nakupongeza sana.
 
Kwa mara ya kwanza wewe umekuwa mkweli. Hapo nakupongeza sana.
Hahahahaha Mkuu mm hawa watu siwapendi na sijawai kuwaamini basi tu ni njaa zetu zinatusumbua.

Kuna nchi sasa hv nipo huku wanajifanya wema na wastaraabu, nikiangalia hizi picha natamani nilipize.
 
Daah hizi picha zinasisimua na kutia hasira. Jamaa walikuwa na roho mbaya hawa.
Lakini Leo tukiwaoa tunaonekana watu wa maana sana,
Zamani waliwapeleka kwa minyororo ila leo hii ukizuiliwa kwenda unatamani kuwapiga migration officer's
 
Lakini Leo tukiwaoa tunaonekana watu wa maana sana,
Zamani waliwapeleka kwa minyororo ila leo hii ukizuiliwa kwenda unatamani kuwapiga migration officer's
Hahaha, mwanadamu kaumbwa na usahaulifu mkuu
 
Lakini Leo tukiwaoa tunaonekana watu wa maana sana,
Zamani waliwapeleka kwa minyororo ila leo hii ukizuiliwa kwenda unatamani kuwapiga migration officer's
Hahahaa
Kuna mathread kibao humu ya kuelezea jinsi ya kutokomea huko majuuu kwenda kubeba mabox.
 
Hizi picha leo zimewaaibisha watu wanaodhani waliotesa watumwa ni waarabu. Tumeona wazungu ndio vinara wa kutesa na kutumikisha. Mwarabu alibeba bidhaa kisha akawauzia wazungu. Na wazungu wakawatesa na kuwatumikisha watumwa. Na waliobisha au kuleta ujuaji walinyongwa na wazungu na si kunyongwa na waarabu......!!!
uzuri wa mzungu sio mnafiki anakili hatakama alikutendea mabaya na nimtunzaji mzuri wa historia,lakini hakuna mtu mbaya na mnafiki kama mwarabu kwanza anakudumaza kifikra wewe utaendelea kuwa mtwana wake mpaka unakufa,lakini mzungu yeye na manyanyaso yake yote atahakikisha unastawi ili uendelee kumtumikia kwa ufanisi..kama umepitia kwa ufasaha baadhi ya michango hapo unaona kuna mdau katoa sababu za kwanini waafrika sio wengi uarabuni
 
uzuri wa mzungu sio mnafiki anakili hatakama alikutendea mabaya na nimtunzaji mzuri wa historia,lakini hakuna mtu mbaya na mnafiki kama mwarabu kwanza anakudumaza kifikra wewe utaendelea kuwa mtwana wake mpaka unakufa,lakini mzungu yeye na manyanyaso yake yote atahakikisha unastawi ili uendelee kumtumikia kwa ufanisi..kama umepitia kwa ufasaha baadhi ya michango hapo unaona kuna mdau katoa sababu za kwanini waafrika sio wengi uarabuni

Nani kakudanganya waafrika co wengi ualabuni???? Nenda Oman kajionee mkuu.kuna mji waitwa salala almost jiji lote limejaa weusi na wameendelea zaidi yako weye na mimi ilevile na wamapewa heshima kubwa mno.
 
kweli hatuna akili, hivi watu watano wawili au zaidi kidogo wanakuja africa alafu wanatuteka akili wanaanza kutupiga na kututawala mpaka kutufunga kamba na minyororo kweli hawakuweza kuungana na kuwapiga hao wazungu before ? naamini walikuja kirafiki wala hawakuanza kutumia bunduki lakini daaah daaah inauma sanaaa kuona majitu yenye nguvu zao wanavyopelekeshwa kama vifaranga wa bata na kuteswa.
ila mpaka leo wazungu wanatutesa cheki makinikia haina kazi hata hatujui tuifanye nn baada ya kuizuia sooooo sad
 
Daaaah japo umetumia lugha Kali ambayo imenigusa moja kwa moja mm kauli mbiu yangu MTU akimpinga mzungu NAPIGANA naye.
Wahindi na waarabu wao hawakutaka kabisa watumwa wazaliane au wazae na wao hivyo WALIWAHASI WATUMWA WAO.
Wazungu walituibia wakati wanatutawala hili halipingiki lkn huku wanaiba na kuziendeleza nchi zetu na kujenga mashule bora.
Haya wameondoka tumebaki S's wenyewe mambo ni hovyo kabisa viongozi wetu wanachota fedha zilizokusanywa wanakwenda kutumbua Ulaya.wanafungua akaunti huko fedha zetu zinanufaisha Ulaya.viongozi wetu wanaingia mikataba mibovu na ulaya kwa maslahi yao binafsi viwanda alivyoacha mzungu vyote vimekufa.
Mashule bora aliyoacha yote yamechakaa hakuna ukarabati Yale tuliojenga wenyewe ni ya hadhi ya chini.Treni toka Dar/Mwanza/Kigoma nilikuwa kila siku iendayo kwa Mungu Leo mmmmh reli ya Tanga mmmmh.
Mashamba ya Katanga Nachingwea Leo mmh.
Wazungu wabaya na wezi lkn S's zaidi tunajiibia na kuwapelekea wazungu. Leo hii NENDA miji waliojaa waswahili nchini Afrika kusini na Miji waliojaa wazungu kama cape town uone tofauti ya Mzungu mwizi na msawahili anayejiibia
Kuna ukweli mwingi kwenye hoja yako,lakini tusikate tamaaa.Sasa hivi Nigeria Kiuchumi GDP ni ya kwanza Africa pamoja na Wizi wao.Imeipita hata South Africa.Hata ukichukulia income per capita wako mbali.kuna mwanga mwishoni mwa handaki
 
Kuna ukweli mwingi kwenye hoja yako,lakini tusikate tamaaa.Sasa hivi Nigeria Kiuchumi GDP ni ya kwanza Africa pamoja na Wizi wao.Imeipita hata South Africa.Hata ukichukulia income per capita wako mbali.kuna mwanga mwishoni mwa handaki
. Mmmmh ni kweli lkn ni ngumu kumeza.
Hivi kweli viongozi wetu walikuwa hawaoni au mpaka sasa hawaoni miji au kitongoji vipya vinavyojengeka? Vinaachwa vinajengeka kiholela basis hata wao serikali kuu hawajali hata kupeleka Huduma za jamii.
Mfano Mdogo Dares salaam ikiwa ndogo tu vituo vya polisi viiikuwa kibao. Central.Magomeni.oyesterbay.msimbazi.kilwa road.chang'ombe.buguruni ilikuwa kilometa kadhaa unakutana na kituo cha polisi.
Leo hii jiji limetanuka vituo bora vya polisi vimebaki vilevile vipya ni vya hovyo kabisa.Leo tunahamia Dodoma tunahama na matatizo yote na kuongezea mengine mapya kwenye jiji la Dodoma. Uchafu ni uleule na zaidi.
Ndo maana Kibiti inatusumbua tupeleke maendeleo wale watu wachanganyike kizazi kwa kizazi risasi si suluhisho.dunia nzima miji yote mikubwa uhalifu ni wa kiwango cha juu lkn serikali hujipanga na wananchi wanaona serikali yao kweli inakerwa na kutafuta mbinu za kuwalinda.
Hakuna ulinzi bora na unaoaminika kama DOG SECTION dunia nzima.tu jiulize S's tunao mbwa kweli wa kupambana na uhalifu? Kikosi chetu cha mbwa ni imara? Tunao mbwa bora? Weka wazungu upuuzi wote utaondoka.mbwa wspo kwa ajili ya maonesho ya hovyo mbele ya Rais majengo yao hovyo specie zao hovyo mauaji kibiti mbwa bora wa tracking wangefanya kazi nzuri tu.
Daah wazungu wangetuachia japo akili
 
Bado wana roho mbaya hata leo
Ila bora sasa ivi iko kichini chini sio kama zamani unafungwa mnyororo na bakola juu unasafiri mabara kwa mabara kwa miguu huna hata viatu wao wamevaa viatu, wapuuzi sana hawa.
 
Bado kuna watu wanaabudu hao hao wazungu kama miungu yao na wako humu ndani, tukisema wanatuibia, kuna mabwege nyumbu bado wanaona wazungu ndio kila kitu kwao!!
Kwanini uibiwe.mpaka ukubali kuibiwa ina maana wewe ni dhaifu.Kwaiyo kati ya wewe mwenye mali unaekubali kuibiwa kilofa na yule anayekuibia nani mjanja.Waafrica tulikua watumwa kwasababu ya ujinga wetu na ata sasa tunaibiwa kwasababu ya ujinga wetu huo huo.Hadi tutakapopata akili ndo aya mambo yataisha.
 
Mara ooooh waarabu waliwahasi weusi ndio maana hawako Arabuni mara oooh waliwaua.... we bhana acha chuki na waarabu. Aliyekwambia maneno hayo ni nani? Au babu yako alikuhadithia jinsi alivyohasiwa? Na alikuhadithia lini na wapi?
Ulibahatika kwenda shule ukasoma Historia japo kidogo.au wewe wakati mwalim anafundisha ulikua unapiga kelele darasani.
 
Athari za utumwa hakuna jamii ambayo iliachwa na ata sasa bado ziko jamii ni watumwa wa fikra.Wazungu walifanya jamii nyingine watumwa kwa namna yao na warabu hali kadhalika ndo maana hadi leo athari zake zinaonekana.kwaiyo picha zako chache ulizoweka haiondoi ukweli kua jamii flan haikufanya matukio yakitumwa kwa waafrika.nakumbuka sio mambo yote mabaya yaliweza kurekodiwa kwa picha ila tunayapata kwenye vitabu mbalimbali.Ila jambo lakusikitisha nikuona hizi jamii nyingine baada ya hizo zama kupita walibadilisha akili zao nakuanza kuwekeza kwaajili ya maisha mapya na akili mpya kwa ajili ya vizazi vyao ila jamii yakiafrika yenyewe bado iko utumwani kifikra tena uku tukitumikishana wenyewe kwa wenyewe uku tukigeuka vibaraka wa hizo jamii zilizotutawala.
 
Ulibahatika kwenda shule ukasoma Historia japo kidogo.au wewe wakati mwalim anafundisha ulikua unapiga kelele darasani.
Toa ushahidi waarabu waliwahasi weusi. Mwenzio anetoa ushahidi na wazungu nao waliwatesa watumwa weusi.
 
Back
Top Bottom