tryphone005
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 453
- 507
Tukumbuke pia kuwa ni miongoni mwa hao hao wazungu walijitokeza wakapambana kuiua biashara ya utumwa ,haikuwa rahisi kwao kupambana na wenzao wenyewe, pia wapo wazungu wema tu , NAMAANISHA WEMA USIO WA KINAFIKI, ambao wametufanyia mambo mazuri tu , na sisi wenyewe waafrika kama tumepata uhuru lakini wenzetu wenyewe wanatuuza tena kwa mara nyingine je na hawa wenzwtu ni wazungu ama!Bado kuna watu wanaabudu hao hao wazungu kama miungu yao na wako humu ndani, tukisema wanatuibia, kuna mabwege nyumbu bado wanaona wazungu ndio kila kitu kwao!!
Basi yatupasa. Kujua kuwa kila taifa watu wabaya na watu wema wapo ila wanapotawala wabaya basi ubaya ndio itaonekana ni sifa ya taifa zima!