Mtu hajawahi kuwa hata Mkuu wa Kitengo au Principal Officer au hata tu Senior officer kwenye Utendaji wa Serikali eti leo anateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji na anaenda kuwaongoza watu ambao wameshakuwepo kwenye nafasi za Ukuu wa Vitengo kwa miaka na miaka.
Huyu mtu pengine hakuwahi hata kuwa Mtendaji wa Kijiji. CCM hao! Utumishi wa Umma hauna thamani kabisa! Hivi kuna hata Murugenzi kutoka wizarani kateuliwa UDED kweli?
Wanasiasa wanadharau sana watumishi wa Umma, ndiyo maana hawa hawatakuja kamwe kukubali Katiba ingine. Yaani ndiyo maana hata mtu asiye GAIDI wanamfanya aonekane GAIDI. UKWELI MBOWE SIO GAIDI.
Huyu mtu pengine hakuwahi hata kuwa Mtendaji wa Kijiji. CCM hao! Utumishi wa Umma hauna thamani kabisa! Hivi kuna hata Murugenzi kutoka wizarani kateuliwa UDED kweli?
Wanasiasa wanadharau sana watumishi wa Umma, ndiyo maana hawa hawatakuja kamwe kukubali Katiba ingine. Yaani ndiyo maana hata mtu asiye GAIDI wanamfanya aonekane GAIDI. UKWELI MBOWE SIO GAIDI.