Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,142
- 39,389
- Thread starter
- #21
Msajili wa mahakama yupo mahakamani mkuu. Ni muundo wa utumishi katika mahakama.Fine, but aliye mahakamani kwa mtindo huu atakata tamaa maana nafasi za usajiri wa mahakama ni chache. Anyway ni mtindo wa Jiwe, sidhani kama Jaji Mkuu kabadilika..bure kabisa