Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
NECTA Ilikuwa hivyo kwa NdalichakoNECTA itakuwaje sasa? Maana ukitaja neno Msonde unaiona NECTA hiyo hapo.
NECTA Ilikuwa hivyo kwa NdalichakoNECTA itakuwaje sasa? Maana ukitaja neno Msonde unaiona NECTA hiyo hapo.
Dah mwamba alikuwa mchapa kazi sana.
Hongera kwa promotion
Dk Msonde
Wanaleta baragashea kama walivyofanya sekretarieti ya ajira. Nakuonya Balozi Hussein Katanga wacha njama zako unazoendelea nazo za sectorolization katika utumishi wa umma.NECTA itakuwaje sasa? Maana ukitaja neno Msonde unaiona NECTA hiyo hapo.
Uhamisho maana yake mtu hajakidhi alipowekwaMimi nilita kuuliza tu, lengo hasa la hizi teuzi holela za kiuhamisho ni nini hasa?
Mantiki hasa ni nini?
Visiwani huwa wanalalamika hawajawahi kuongoza kwenye matokeo na wakati hawataki shuleKuondolewa kwa Msonde Necta kunaweza kuleta maswali mengi sana ikiwa hata mbadala wake hajajulikana ...Msonde ameibarand Necta vizuri hatusemi akae pale milele lakini kimsingi ni kama kuna siasa kwenye elimu ni kama vile Rais anajaribu kuwaridhisha watu fulani walio kuwa wanailalamikia Necta ya Msonde!
Hii sio promotion ni kama kushushwa cheo vile kule anakwenda kupewa maelekezo tuu...
Utendaji wa Msonde Necta ulikuwa wa kutukuka sana
Amechangamsha sana necta kwa kuleta Mabadiliko makubwa mfano;Why ?.
Hiyo necta aliikuta na kuna siku angeondoka tu
Kuna mahali fulani fulani nimesikia kuwa msingi wa huu uteuzi umekaa kimkakati wa BAKWATA!
Kuna mgalatia alikuwa anang'olewa pale NECTA ili mfilisti awekwe pale, halafu ile michezo ya kuwabeba wanafunzi wa dini fulani ili kwenda sambamba kwa pamoja kiwiano iende fresh. Hizo hamisha hamisha zingine ni kuzuga tu ili wajinga wasielewe mchezo kirahisi.
Alianza Profesa Joyce kutolewa pale wizara ya elimu, sasa amefuata Dr. Charles kuondoka pale NECTA........
Mama endelea hivyo hivyo kuupiga mwingi mpaka akili za walishwa mashonde na divai ziwakae vizuri.
Naona mtendaji mkuu mpya wa necta atatoka bakwata.Naona St. Peters wameshaini, Bakwata Kaibuka Kailima Pekee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
... shati za mtumba ...Nikupe hongera sana rafiki yangu na ndugu haswaa dkt msonde kwa kupata uteuzi huu leo...dkt msonde wewe ni mchapakazi kwa hili halina upinzani..nani asiefahamu kuwa dkt msonde ulipokuwa nacte umekuwa unapambana hasa na suala la wizi wa mitihani..na hiki ndicho kilichofanya wewe upate uteuzi, umekuwa ukijitoa kwa kufanya kazi bila kuchoka, ..dkt hapo TAMISEMI kuna uozo mkubwa kuna watu wanaitwa vishoka, ondoa vishoka wa ajira.....kwamba mtu hawezi kupata ajira mpaka awe na connection na mtu mkubwa hapo TAMISEMI..kwamba huwezi kupata ajira mpaka utoe chochote..wapo jamaa hapo utawaona tu wanapenda kuvaa shati za mtumba na kuchomekea kwa suruali za kadeti haisee hao jamaa wana njaa kwelikweli..DKT MSONDE TUNAOMBA UWAONDOE VISHOKA WA AJIRA ZA SERIKALI ILI WADOGO ZETU NAO WAPATE HAKI YA KUAJIRIWA...
Kumbe alikua NACTE? Naibu Katibu Mkuu ana influence gani?Nikupe hongera sana rafiki yangu na ndugu haswaa dkt msonde kwa kupata uteuzi huu leo...dkt msonde wewe ni mchapakazi kwa hili halina upinzani..nani asiefahamu kuwa dkt msonde ulipokuwa nacte umekuwa unapambana hasa na suala la wizi wa mitihani..na hiki ndicho kilichofanya wewe upate uteuzi, umekuwa ukijitoa kwa kufanya kazi bila kuchoka, ..dkt hapo TAMISEMI kuna uozo mkubwa kuna watu wanaitwa vishoka, ondoa vishoka wa ajira.....kwamba mtu hawezi kupata ajira mpaka awe na connection na mtu mkubwa hapo TAMISEMI..kwamba huwezi kupata ajira mpaka utoe chochote..wapo jamaa hapo utawaona tu wanapenda kuvaa shati za mtumba na kuchomekea kwa suruali za kadeti haisee hao jamaa wana njaa kwelikweli..DKT MSONDE TUNAOMBA UWAONDOE VISHOKA WA AJIRA ZA SERIKALI ILI WADOGO ZETU NAO WAPATE HAKI YA KUAJIRIWA...
Ata ateuliwe mvaa kobasi saiv mitihani inasahihishwa na machine.dini fulani miaka yote shule zao zina bebwa wana kuwa top 10 kumbe mitihani wanapewa sasa tunataka tuone watoto wenye akili sio kupewa mitihani