Uteuzi na Utenguzi: Dkt. Kihamia ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Kuji awa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

20240111_005203.jpg

Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu


Soma UDART mnakwamisha maendeleo
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

View attachment 2867897
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Duh! DART ina Mtendaji Mkuu? No accountability/ innovation!
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

View attachment 2867897
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Mhede ameshashindwa kazi
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kama ifuatavyo:

1. Amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha.

Dkt. Kihamia anachukua nafasi ya Dkt. Edwin P. Mhede ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Musa N. Kuji kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA). Bw. Kuji alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

View attachment 2867897
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
DART inatakiwa awekwe mtu mwenye mtizamo wa kibiashara.

Hilo Shirika ni la kubinafsisha na kiufupi hata boss wake alitakiwa iwe nafasi wa wazi ya ushindani Ili watu waombe.

Hii ya kuteua Watumishi wa Umma haiwezi kuleta Tija.Just imagine Rais anateua Hadi CEO wa DART,Kuna shida mahala.

Nitashangaa Msajili wa Hazina au Mamlaka ya Uwekezaji ya Mchechu kama hajashauri kubadili muundo wa uendeshaji wa DART.
 
Back
Top Bottom