Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,706
- 11,046
Nenda Google kaangalie majukumu ya naibu katibu mkuuKumbe alikua NACTE? Naibu Katibu Mkuu ana influence gani?
Nenda Google kaangalie majukumu ya naibu katibu mkuuKumbe alikua NACTE? Naibu Katibu Mkuu ana influence gani?
Siyo NACTE. Mwandishi kateleza bali ni NECTA.Kumbe alikua NACTE? Naibu Katibu Mkuu ana influence gani?
Acha uongo na uzushi, leta ushahidi kwamba wanapewa mitihani.dini fulani miaka yote shule zao zina bebwa wana kuwa top 10 kumbe mitihani wanapewa sasa tunataka tuone watoto wenye akili sio kupewa mitihani
Uongo tu Tafuta sababu zinginedini fulani miaka yote shule zao zina bebwa wana kuwa top 10 kumbe mitihani wanapewa sasa tunataka tuone watoto wenye akili sio kupewa mitihani
Kobazi na elimu dunia wapi na wapi?Msonde katolewa ili awekwe mvaa kobazi
Huyu alikuwa mwl wa ttc, kapanda kaenda necta Mara huyo..Alizaliwa ndani ya Necta ?!!!
Umejawa na udini tu ww mpuuzi, kwaiyo mnataka hapo akae mkristo?! kkenge nyieHapana kabisa kumuondoa Charles Msonde NECTA ni kuua uadilifu kabisa. Boss huyu aliiweza NECTA. Heshima ya mitihani ikajitokeza. Mifuko ya kidigitali kusahihisha mitihani.
Matokeo kwa haraka mno tena yakiwa perfect kabisa. Leo hii anapekekwa Tamisemi kusibiri maekekezo. Not fair. Au ndiyo Yale malalamiko ya upande wa pili kuwa Mkristo anakandakiza?
Hakuns Katibu wa NECTA ambaye hakuwahi kulalamikiwa na hao Jamaa. Sasa tunasubiri jina litakaloteuliwa ndiyo tutapima ukweli.
Kumbe wakristo mna chuki Sana na Waislamu, aisee sasa nimeamini vizuri,kwaiyo mnataka taasisi za elimu wakae wakristo wenzenu nyie Wala nguruwe?;! Mmmbwa kweli nyyyieKuna mahali fulani fulani nimesikia kuwa msingi wa huu uteuzi umekaa kimkakati wa BAKWATA!
Kuna mgalatia alikuwa anang'olewa pale NECTA ili mfilisti awekwe pale, halafu ile michezo ya kuwabeba wanafunzi wa dini fulani ili kwenda sambamba kwa pamoja kiwiano iende fresh. Hizo hamisha hamisha zingine ni kuzuga tu ili wajinga wasielewe mchezo kirahisi.
Alianza Profesa Joyce kutolewa pale wizara ya elimu, sasa amefuata Dr. Charles kuondoka pale NECTA........
Mama endelea hivyo hivyo kuupiga mwingi mpaka akili za walishwa mashonde na divai ziwakae vizuri.
Kwaiyo unataka awekwe mla nguruwe wanaobariki ufillajiAnaletwa bakwata pale
Takatka wewe,usimpangie Cha kufanya Balozi HassaniWanaleta baragashea kama walivyofanya sekretarieti ya ajira. Nakuonya Balozi Hussein Katanga wacha njama zako unazoendelea nazo za sectorolization katika utumishi wa umma.