UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi na uhamisho wa Naibu Makatibu Wakuu. Dkt. Msonde kulamba asali TAMISEMI (Elimu)

Nami naomba nikazie na kumuongezea...
KONGOLE NYINGI SANA KWAKE, NI MCHAPAKAZI KWELI NA MWANAMABADILIKO SANA.

Nampenda.
 
Necta penyewe kuna vishoka wa kuhakikisha unaenda marking kila mwaka, atapaweza tamisemi?

Hana jipya.
 
dini fulani miaka yote shule zao zina bebwa wana kuwa top 10 kumbe mitihani wanapewa sasa tunataka tuone watoto wenye akili sio kupewa mitihani
Acha uongo na uzushi, leta ushahidi kwamba wanapewa mitihani.

Nyinyi mliofeli ni kawaida kuona wenzenu waliofaulu wamepewa mitihani
 
Dkt Msonde alifanya kazi iliyotukuka pale necta, baraza la mitihani liliheshimika chini ya uongozi wake. Tunaomba tupate mtanzania mwingine bora zaidi wa kuliongoza baraza letu lamitihani. Kila la heri huko ulikoenda dkt Msonde.
 
dini fulani miaka yote shule zao zina bebwa wana kuwa top 10 kumbe mitihani wanapewa sasa tunataka tuone watoto wenye akili sio kupewa mitihani
Uongo tu Tafuta sababu zingine

Feza secondary ya waislamu tena wa swala tano mbona kila mwaka iko top ten?

Unasemaje kwa hilo?
 
Hapana kabisa kumuondoa Charles Msonde NECTA ni kuua uadilifu kabisa. Boss huyu aliiweza NECTA. Heshima ya mitihani ikajitokeza. Mifuko ya kidigitali kusahihisha mitihani.

Matokeo kwa haraka mno tena yakiwa perfect kabisa. Leo hii anapekekwa Tamisemi kusibiri maekekezo. Not fair. Au ndiyo Yale malalamiko ya upande wa pili kuwa Mkristo anakandakiza?

Hakuns Katibu wa NECTA ambaye hakuwahi kulalamikiwa na hao Jamaa. Sasa tunasubiri jina litakaloteuliwa ndiyo tutapima ukweli.
Umejawa na udini tu ww mpuuzi, kwaiyo mnataka hapo akae mkristo?! kkenge nyie
 
Kuna mahali fulani fulani nimesikia kuwa msingi wa huu uteuzi umekaa kimkakati wa BAKWATA!

Kuna mgalatia alikuwa anang'olewa pale NECTA ili mfilisti awekwe pale, halafu ile michezo ya kuwabeba wanafunzi wa dini fulani ili kwenda sambamba kwa pamoja kiwiano iende fresh. Hizo hamisha hamisha zingine ni kuzuga tu ili wajinga wasielewe mchezo kirahisi.

Alianza Profesa Joyce kutolewa pale wizara ya elimu, sasa amefuata Dr. Charles kuondoka pale NECTA........

Mama endelea hivyo hivyo kuupiga mwingi mpaka akili za walishwa mashonde na divai ziwakae vizuri.
Kumbe wakristo mna chuki Sana na Waislamu, aisee sasa nimeamini vizuri,kwaiyo mnataka taasisi za elimu wakae wakristo wenzenu nyie Wala nguruwe?;! Mmmbwa kweli nyyyie
 
Wanaleta baragashea kama walivyofanya sekretarieti ya ajira. Nakuonya Balozi Hussein Katanga wacha njama zako unazoendelea nazo za sectorolization katika utumishi wa umma.
Takatka wewe,usimpangie Cha kufanya Balozi Hassani
 
Back
Top Bottom