Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.


Job descriptions yake inamaelekezo hayo??

Kisheria kijana mwenye miaka 18 ni mtu
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwa

Ilibidi wamlinde maana kwa sisi tunaojua siasa kila uongozi lazima watu wachache waumie wengi wapone.
Sabaya kutumwa na rais sio dhambi ilo wazi hata ungekuwa wewe ungemtuma akusaidie kazi.kisiasa hii inaeleweka wala aliemtuma yupo sahihi.
Urais ni taasisi je hawakujua hilo? Of cause walijua sana. Sasa ndo ujuwe magufuli alikuwa akichukiwa bila yeye kutambua. Yaani sasa hivi ni kama kukomoa.
Sabaya ametaja baada ya kuona hakuna msaada.kipindi hiki chote alikuwa kimya alivyoona hakuna anaemsaidia akaongea...
Najua ataumia na wenda baabae...................

Kwa sasa hana chaguo hata mimi ningefanya hivyo.
Ni mapito tu hata awamu zilizopita hapa.mambo yalikuwepo.
 
Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.


Job descriptions yake inamaelekezo hayo??

Kisheria kijana mwenye miaka 18 ni mtu
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwa

Ilibidi wamlinde maana kwa sisi tunaojua siasa kila uongozi lazima watu wachache waumie wengi wapone.
Sabaya kutumwa na rais sio dhambi ilo wazi hata ungekuwa wewe ungemtuma akusaidie kazi.kisiasa hii inaeleweka wala aliemtuma yupo sahihi.
Urais ni taasisi je hawakujua hilo? Of cause walijua sana. Sasa ndo ujuwe magufuli alikuwa akichukiwa bila yeye kutambua. Yaani sasa hivi ni kama kukomoa.
Sabaya ametaja baada ya kuona hakuna msaada.kipindi hiki chote alikuwa kimya alivyoona hakuna anaemsaidia akaongea...
Najua ataumia na wenda baabae...................

Kwa sasa hana chaguo hata mimi ningefanya hivyo.
Ni mapito tu hata awamu zilizopita hapa.mambo yalikuwepo.
 
hawezi kutiwa hatiani kwa majungu na fitina.
Mahakama zinazingatia ushahidi usio na shaka sio hisia zako na mihemuko.
kesi ya sabaya imejaa hisia na mihemuko ya kisiasa!!
chuki za wafanya biashara walio lazimishwa kulipa kodi!
unaazaje kumfunga mtu aliye kuwa amezungukwa na mazingira kama hayo, unawezaje kutofautisha ukweli na chuki za kisiasa?!


Kazi ya Mkuu WA wilaya ni kulazimisha watu kulipa Kodi??
 
Sabaya aliwahi kushitakiwa kwa kosa la kujifanya Afisa Usalama wa Taifa.

Na wakati huo alikuwa mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha.

Sasa ukiniambia 7baya ni jasusi, ninapata mashaka kwamba inakuwaje jasusi ashitakiwe kwa kujifanya jasusi?


Inawezekana akawa jasusi na akashtakiwa Kwa Kwa ujasusi
 
Umeajiriwa na jamhuri au private na je uko kwenye shirika, SM au STK? Amiri jeshi unaijua mipaka yake na utisho wake kimaelekezo?


Hakuna mwenye mamlaka ya kumuamuru mtu afanye Uhalifu.
Hakuna aliyejuu ya sheria sijui kama unalijua Jambo Hilo.

Huyo aliyemuagiza mwenyewe Kama angekuwepo na Kama sheria zinatenda kazi vyema wote wanakesi ya kujibu
 
Mambo ni Moto!

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sebaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sebaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye MANTIKI.

Utetezi wa Sebaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sebaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sebaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.
Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sebaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua.
Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sebaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sebaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa Afe kiume. Akaze Tai shingoni.
Mabosi zake ndio wamnasue.
Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Hamna jasusi humo. Hakunaga ujasusi wa kindezi hivyo!
 
Mambo ya kulala na mama ake hayo ni ya kwako , Jambo zito unalijua wewe , yeye kasema basi , kama walishindwa kutambua Hilo na wote wapo DSM wanakula bata yeye anasota rumande leo limekuwa Jambo zito , mara ngapi tuhuma za sabaya anapelekewa Maghufuli na Maghufuli anapiga kimya , means alikuwa anajua Kwa usahihi what is going on , Leo hii ofisi hyo hyo inamgeuka na kujifanya wema , huo usenge na upumbavu hakuna anayeweza fanya.....


Ndio maana nikakuuliza, angeambiwa akalale na Mama yake au mwanaye angefanya Kwa vile kaambiwa na Rais??

Kuhusu mambo ya kimajukumu atapaswa atoe vielelezo vinavyothibitisha maneno yake.

Lakini mpaka sasa tayari yupo nyavuni
 
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwa

Ilibidi wamlinde maana kwa sisi tunaojua siasa kila uongozi lazima watu wachache waumie wengi wapone.
Sabaya kutumwa na rais sio dhambi ilo wazi hata ungekuwa wewe ungemtuma akusaidie kazi.kisiasa hii inaeleweka wala aliemtuma yupo sahihi.
Urais ni taasisi je hawakujua hilo? Of cause walijua sana. Sasa ndo ujuwe magufuli alikuwa akichukiwa bila yeye kutambua. Yaani sasa hivi ni kama kukomoa.
Sabaya ametaja baada ya kuona hakuna msaada.kipindi hiki chote alikuwa kimya alivyoona hakuna anaemsaidia akaongea...
Najua ataumia na wenda baabae...................

Kwa sasa hana chaguo hata mimi ningefanya hivyo.
Ni mapito tu hata awamu zilizopita hapa.mambo yalikuwepo.


Mkuu pengine kuna Jambo hulielewi vyema.

Unapoambiwa anapewa Oda, lazima ujue anapewa Oda Kwa job descriptions yake na sio apewe Oda Kwa mambo yasiyomhusu hapo automatic anaingizwa mkenge.

Yaani mfano mtu sio Daktari alafu aambiwe aende akachome watu sindano hospitalini kisa ni Oda ya Rais naye anaenda kufanya kazi hiyo. Yakutolea madhara moja Kwa moja atakuwa na Kesi ya kujibu.

Kila Oda inamipaka yake kulingana na mtu na mtu.

Pia zingatia kuwa unapopewa Oda hasa yenye viashiria vya kuvunja sheria ambapo ni Uhalifu lazima uelewe kwenye matokeo wewe ndiye utakayehusika 100% kuliko aliyekutuma
 
Hakuna mwenye mamlaka ya kumuamuru mtu afanye Uhalifu.
Hakuna aliyejuu ya sheria sijui kama unalijua Jambo Hilo.

Huyo aliyemuagiza mwenyewe Kama angekuwepo na Kama sheria zinatenda kazi vyema wote wanakesi ya kujibu
Socialist states huwaga kuna deep state in a state
 
Angekuwa mjanja angerokodi mazungumzo yake na Magufuli kama ni kweli alikuwa anatumwa kufanya uhalifu. Unapotumwa na mtu yoyote yule kufanya uhalifu hakikisha una ushahidi ili baadaye asikuruke. Hii ni bima yako ya maisha ambayo ukipata matatizo itakulipa.
 
Yaani ati umetumwa kuua alafu unakamatwa unasema nimetumwa kuua. Hivi hata mtoto mdogo si atakushangaa Kwa ujinga.

Hata Kama umetumwa kazi na mkuu wako, ukaioa jina kazi maalumu na ambayo kimsingi huenda ni Uhalifu lazima utumie akili kuitenda, na ukishikwa utakayewajibika ni wewe 100% .

Sasa hawa ndugu zetu wanakuambia Kwa vile katumwa ataachiwa, inashangaza kweli
Yule mwenyekiti wa ccm Mwanzao Bwana Diallo alisemaje kama unakumbuka??? Acheni kutesa watu pasipo sababu za msingi mwone kama mtaumbuka,ila Sabaya angemtaja Mbowe au Lissu mngesema Sabaya ni shujaa amewafichua waovu,kwa mwendazake hapana kisa alikuwa rais,je rais hawezi kukosea katika maamuzi yake?Na hilo la uteuzi wa Sabaya na Bashite huoni kuwa rais wako alikuwa na mapungufu kwa kiasi fulani?
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.
Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua.
Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue.
Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Tatizo la Jamaa ni ushamba,mtu mwenye akili hawezi kufanya uhalifu kwa kuacha alama kiasi hicho ikiwa ni kweli alikua mwanausalama basi ni ziro tu.
 
Socialist states huwaga kuna deep state in a state


Kwenye misheni za hatari mara nyingi ukikamatwa unajijua mwenyewe, huo ndio utaratibu.

Sio kutaja taja watu kijinga jinga.

Sijui kama unanielewa lakini.

Hata Kama serikali ndio imekutuma unapaswa ufanye Kwa akili, ukishikwa unajitetea kivingine kulinda Siri za Serikali.

Majasusi wanapofanya misheni zao hasa zile zilizokinyume na haki za binadamu Kama vile mauaji, ukatili, uporaji, NK.
Wakamatwapo hawatakiwi kutoa Siri ili kuilinda serikali isionekane inafanya mambo ya hovyo.

Kusema umetumwa na serikali tafsiri yake ni kuwa unaichafua serikali kimataifa.

Hapo alipaswa atafute mbinu zingine kisha waserikali wangejua namna ya kumtoa.


Yaani Kama ni mtihani wa usaili ili aingie kwenye vitengo nyeti vya usalama wa taifa, tayari Sabaya ka/-disqualify
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.
Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua.
Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue.
Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Huyu Sabaya huenda akawaumbua wengi na hasa wahuju u uchumi wenye mitambo ya kutengeneza fedha, madawa ya kulevya na wakwepa Kodi...itabidi apewe ulinzi mkubwa huko mahabusu...siyo kesi nzuri kwa baadhi ya watu...
 
Yule mwenyekiti wa ccm Mwanzao Bwana Diallo alisemaje kama unakumbuka??? Acheni kutesa watu pasipo sababu za msingi mwone kama mtaumbuka,ila Sabaya angemtaja Mbowe au Lissu mngesema Sabaya ni shujaa amewafichua waovu,kwa mwendazake hapana kisa alikuwa rais,je rais hawezi kukosea katika maamuzi yake?Na hilo la uteuzi wa Sabaya na Bashite huoni kuwa rais wako alikuwa na mapungufu kwa kiasi fulani?


Mkuu hapa tunazungumzia yanayoendelea mahakamani kuhusu kesi inayomkabili Sebaya.

Hayo mengine tutajadili siku nyingine
 
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwa

Ilibidi wamlinde maana kwa sisi tunaojua siasa kila uongozi lazima watu wachache waumie wengi wapone.
Sabaya kutumwa na rais sio dhambi ilo wazi hata ungekuwa wewe ungemtuma akusaidie kazi.kisiasa hii inaeleweka wala aliemtuma yupo sahihi.
Urais ni taasisi je hawakujua hilo? Of cause walijua sana. Sasa ndo ujuwe magufuli alikuwa akichukiwa bila yeye kutambua. Yaani sasa hivi ni kama kukomoa.
Sabaya ametaja baada ya kuona hakuna msaada.kipindi hiki chote alikuwa kimya alivyoona hakuna anaemsaidia akaongea...
Najua ataumia na wenda baabae...................

Kwa sasa hana chaguo hata mimi ningefanya hivyo.
Ni mapito tu hata awamu zilizopita hapa.mambo yalikuwepo.
Mtamalizana wenyewe,sisi hatujui yote hayo mnayoyaongea ni ushahidi tosha kuwa mwendazake alimtumia Sabaya kwaumiza baadhi ya watu hasa hasa wapinzani wa ccm,tosha.
 
Huyu Sabaya huenda akawaumbua wengi na hasa wahuju u uchumi wenye mitambo ya kutengeneza fedha, madawa ya kulevya na wakwepa Kodi...itabidi apewe ulinzi mkubwa huko mahabusu...siyo kesi nzuri kwa baadhi ya watu...


Hana atakayemuumbua na sifikirii Kama muelekeo wake utakuwa ni mzuri.

Atawaumbuaje pasipo ushahidi?

Yaani porojo zake ndio ziwe kumuumbua mtu?

Sebaya anapawa awe makini zaidi katika maneno yake, lazima aelewe kuwa pale ni mahakamani sio kijiweni ambapo unaweza sema neno lolote hata bila ya ushahidi.

Alifanya mahakama kiwe kijiwe bado anajitengenezea mazingira mabovu.

Kingine,
Sebaya alisema anashahidi mmoja katika kesi inayomkabili,
Kuwataja wengine Kama Isdori mpango na huyo Gavana bado kunamuweka katika nafasi ngumu zaidi kuliko alivyotegemea.
 
Back
Top Bottom