Pretty-baby
Member
- Jan 25, 2012
- 56
- 7
Ndokeji! Naweza nikapinga kuwa wanawake wemekuwa tegezi ,huo usemi ni wazamani ndo maana ninakwambia ukiona mapenzi yanaterereka kwasababu ya uchumi ujue MSINGI wake ulijegwa na hela./money!
.....sasa bila pesa mtafurahia kweli hilo penzi? Ili ufurahie penzi lazima upate mahitaji ya muhimu kama kula, kuvaa na kulala, sasa bila hivi vitu kuna furaha kweli hapo!! Ndio maana wanasema mwanaume pesa na si sura, na hapendwi mtu bali pochi hahahahahha!!
Mapenzi si pesa bali ni kuaminiana kwa kila mmoja na kuwa na mapenzi ya kweli.
always remember more money, more problems
yan mhimu kweli sababu kiukweli mambo ya kujidai unampenda mtu bila kuangalia uwezo wake kipesa ni ujinga.mtakula nini mkifika huko ndani???