Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 577
- 460
twendeni moja kwa moja katika jambo ,Kuna rafiki yangu alikua akiuguliwa na mke wake nae hakua na pesa ilimbidi amwone mshkaji amkope pesa akalipie matibabu , mke akapona na akaruhusiwa kutoka hospital akiwa mzima kabisa.
Baada ya wiki moja jamaa angu akamlipa pesa nusu jamaa ambaye ni laki moja maana alikopa laki mbili , tatizo lilianza hapa baada ya jamaa kumtongoza mke wa rafiki yangu na mshkaji anajisifia kwa mke wa jamaa kua hata ile pesa ya hospital alitoa yeye na kamkejeli sana mwana kwa mke wake mke kamweleza kila kitu mume wake na jamaa kaamua kutokumlipa kiasi kilichobaki je ni sawa? ingekukuta wewe mwana JF UNGEFANYAJE UNGELIPA DENI LILILOBAKI?
Baada ya wiki moja jamaa angu akamlipa pesa nusu jamaa ambaye ni laki moja maana alikopa laki mbili , tatizo lilianza hapa baada ya jamaa kumtongoza mke wa rafiki yangu na mshkaji anajisifia kwa mke wa jamaa kua hata ile pesa ya hospital alitoa yeye na kamkejeli sana mwana kwa mke wake mke kamweleza kila kitu mume wake na jamaa kaamua kutokumlipa kiasi kilichobaki je ni sawa? ingekukuta wewe mwana JF UNGEFANYAJE UNGELIPA DENI LILILOBAKI?