Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,480
40,491
Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.

kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.

Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.

Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.

:AlizeePLS: :AlizeePLS: :AlizeePLS::AlizeePLS:
 
Back
Top Bottom