Mawazo ya malofa haya, huna pesa unawaza mapenzi!! pole sana.Wadau najiuliza tu inawezakana watu wakapendana na kupeana mapenzi yote bila uwepo wa pesa kwa zama hizi?
mfano mimi nisiye kuwa na ajira miss Tanzania anaweza kunipenda tu na kukubali kuishi nami nandi ya kachumba kamoja ka kupanga?maana kwenye hadithi nyingi za mapenzi nikisoma husema mapenzi hayachagui na ni upofu.
labda wadau mnipe na uzoefu wenu.
pre paid,kazi ipo na hawa mizigo
omba mtu atunge hadithi ya mapenzi wewe uwe starring. .
naenda kwa babu kijiji kunywa mitishamba
Haya safari njema huko kijini ila inabidi umpate ambae na yeye anaijua miti shamba ili mwende sawia.
mimi huwa napinga hadi baadhi ya watu wana ni PM kunitukana ila msimamo wangu mapenzi na njaa amuna aiseeyani atakuwa anagonewa demu wake ... pesa mbele mapenzi badae ..[/QU
Hii yote inasababishwa na uharaka wa sis vijana, tunataka mambo makubwa ambayo sio saiz yetu. Watu watawezesha then watapita wewe utang'ang'ana na uboyfriend na ugirlfriend njaa
Wadau najiuliza tu inawezakana watu wakapendana na kupeana mapenzi yote bila uwepo wa pesa kwa zama hizi?
mfano mimi nisiye kuwa na ajira miss Tanzania anaweza kunipenda tu na kukubali kuishi nami nandi ya kachumba kamoja ka kupanga?maana kwenye hadithi nyingi za mapenzi nikisoma husema mapenzi hayachagui na ni upofu.
labda wadau mnipe na uzoefu wenu.
hujakutana na wajanja unarushwa pesa yotendo hivyo lazima uhudumie
hahaahah!!! na hapo lazma utulizane tuliii.
hujakutana na wajanja unarushwa pesa yote
ananirushaje pesa mbele jkama tai loh