Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

ulinganisho wa pesa kila mtu ana kiwango chake (maana mwingine anaweza kuona jamaa yake ana pesa kumbe kwa mwingine ni vijisenti)... wanaosababisha wanawake waone pesa ndo kila kitu ni ninyi wanaume wenyewe... maana utakuta mtu kakupenda ukiwa huna pesa mkaendelea vizuri na maisha yenu lakini inatokea unaanza kupata pesa unasahau upendo mliokuwa nao unatafuta wanawake wengine tu kwa sababu una pesa ya kuwapa maana umepata kiburi kwamba pesa ndo kila kitu... kwa hiyo ni NYIE WANAUME NDO MNASABABISHA PESA KUONEKANA NDO KILA KITU....
Mbona na wanawake nao wanatembea na houseboy, though wanaume wana hela ya kufa mtu
 
Jamani wanajamii tusaidiane kwa hili je pesa ndioo kila kitu katika mapenzii kwani me siwezi kukupenda bila pesa na wewe bila pesa huwezi kunipenda wat does dat pesa du wth love

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Money and love are two sides of the same coin......
pesa si kila kitu ila inaongeza furaha katika mapenzi!!!!!!!
 
wee wanaume hawaoni pesa kama kila kitu...wanaume wanaona pesa kama njia yakumpata mwanamke yoyote umtakaye

Mh! Hizo pesa hazina kazi nyingine ya kufanya? Maana akiendekeza hizo papuchi mwisho wa siku zinampachua...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
You can buy sex or relationship even marriage but love. Love is priceless!
money can not buy love and love can not buy money, but money increases the chances of love and love decreases the needs for money.

When one is in love money is of less significance and when one lacks money for basic needs, love is often more at risk... Hii haina ubishi!!!
 
sa huna sababu ya kua na girlfriend bora ununue malaya tu yani kutokumpa king'amuzi ndo akunyime uchi huo ni us.........to the fooolest!
 
Wanajamvi, napenda kufahamishwa jambo hili, Hivi mapenzi bila pesa hayaendi?
sabab u ya kuuliza hivi ni kwamba, kila rafiki wa kike ninayekuwa nae demand ya kwanza ni hela, na kama ukimueleza ukweli au hali halisi kesho humuoni hata mawasiliano, huu ndio msingi wa swali langu😡
 
Wanajamvi, napenda kufahamishwa jambo hili, Hivi mapenzi bila pesa hayaendi?
sabab u ya kuuliza hivi ni kwamba, kila rafiki wa kike ninayekuwa nae demand ya kwanza ni hela, na kama ukimueleza ukweli au hali halisi kesho humuoni hata mawasiliano, huu ndio msingi wa swali langu😡

anahofia ipo siku utangegeda bila kinga ukidai huna hela ya kununua condom...
 
Asikwambie mtu, pesa ndo kila kitu katika mapenzi.
Kauli nyingine ni za 'maneno ya mkosaji tuu'
 
ayaendi kwa sababu unatafuta ambao siyo size yako.
tafuta wa size yako japo utatoa tu ela lakin itakuwa ya kawaida kuliko ambao si size yako utatoa nyingi
 
Back
Top Bottom