Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,971
- 54,097
Hii ni dhana iliyojengeka tu kwa watu, lakini ukipenda unapopendwa haya mambo hayapo.
Bullshit ...
je size hapa una maana kimo? Umri ama class? Yaani daraja la juu ama hohehahehuo sio ukweli ila ni tamaduni mbaya tu iliyoibuka miongoni mwa wanawake...consequences zake ni kwamba ndoa nyingi za kizazi chetu zimekuwa zikiyumba...
Ushauri wangu ni kwamba tafuta mtu wa @size yako ukiwa na hakika kuwa akupenda kwa namna ulivyo...
Wanajamvi, napenda kufahamishwa jambo hili, Hivi mapenzi bila pesa hayaendi?
sabab u ya kuuliza hivi ni kwamba, kila rafiki wa kike ninayekuwa nae demand ya kwanza ni hela, na kama ukimueleza ukweli au hali halisi kesho humuoni hata mawasiliano, huu ndio msingi wa swali langu😡
ayaendi kwa sababu unatafuta ambao siyo size yako.
tafuta wa size yako japo utatoa tu ela lakin itakuwa ya kawaida kuliko ambao si size yako utatoa nyingi
je size hapa una maana kimo? Umri ama class? Yaani daraja la juu ama hohehahe
Wanajamvi, napenda kufahamishwa jambo hili, Hivi mapenzi bila pesa hayaendi?
sabab u ya kuuliza hivi ni kwamba, kila rafiki wa kike ninayekuwa nae demand ya kwanza ni hela, na kama ukimueleza ukweli au hali halisi kesho humuoni hata mawasiliano, huu ndio msingi wa swali langu😡
Wanajamvi, napenda kufahamishwa jambo hili, Hivi mapenzi bila pesa hayaendi?
sabab u ya kuuliza hivi ni kwamba, kila rafiki wa kike ninayekuwa nae demand ya kwanza ni hela, na kama ukimueleza ukweli au hali halisi kesho humuoni hata mawasiliano, huu ndio msingi wa swali langu😡