mathew.paul58
Member
- Jul 25, 2009
- 19
- 5
Mmmmh lakini too much
Mimi saa nyingine kwa dada zetu hawa naona ni umaskini wa mawazo(kifikra)..kutotambua thamani ya mwanamke zaidi kuliko pesa......inashangaza sana mtu anakukimbia kisa una hela....ila bado anataka attension yako na anataka um-mle though yupo na mtu mwenye hela alzo kimbila...ndo mana nasema ni umaskini wa mawazo tu wakati mwingine....
Mmmmh lakini too much
Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo credit: kikuyumoja)Mmmh...kazi kweli kweli
Ukiwa na hela ukakosa penzi utajifariji na mjengo mkali mashine za kutembelea mishoping na mambo kama hayo!!!
Pesa chweee na penzi ligome weeeeee!!!!!
Masela tupige kazi saaaanaaa kupata chedar mengine yatajipanga
Ulimbukeni fanya kazi kwa bidii basi sio eti sababu ya penzi uliona wapi penzi la kweli likinunuliwa kama sio kutafuta dhahama.mnajidanganya sana nyie.
mkuu unaguna tu na kukimbia, teh teh!
Si unajua tena mambo ya "maselebriti"..kila siku hawaishi viloja
Fanya yako v2 vingine havikuhusu ebooo....!
Mkuu umejuaje kuwa ni pesa ndio iliyomfanya huyo peni asifanye chochote kwa diamond?Jamani hii statement 'pesa ndo kila kitu' inajihidhirisha wazi wazi kwenye maisha yetu ya kila siku, nimekumbuka tukio moja la hivi karibunii ndo nikaikumbuka tena hii statement.
Tukio lenyewe ni ile skendo ya daidomo na uyowa, nilichoshangaa baada ya skendo ile sikusikia reaction yoyote toka kwa peni, itakumbukwa ndo kwanza alikuwa aingia kwenye mahaba motomoto na daidomo lakini jamaa bila aibu akamsaliti live tena within such short period of their relationship.
My take: mapenzi na pesa haviwezi kutenganishwa, hivyo ipo haja ya kuhamasisha vijana wa kiume kusakanya pesa kwa udi na uvumba ili ku-sustain relationships zao, iwe ndoa au urafiki to wa boyfriend na girlfriend, vinginevyo relationships zao zintakuwa majangaaa!! Am I right??????
Mkuu umejuaje kuwa ni pesa ndio iliyomfanya huyo peni asifanye chochote kwa diamond?
Umejibu vyema mkuu kama ni tetesi sawa, ila kama hakuna ushahidi wa moja kwa moja tunaweza sema kutokureact kunaweza sababishwa na mambo mengi ikiwemo hilo 1.pesa pia, 2. mtu anavyochukulia jambo lenyewe 3. Tukokujiamini kama akiondoka pale atakwenda wapi. 4. Bahati ya kuwa na mtu maarufu 5. Mshininikizo ya wazazi au walezi au yeyote. 6 N.Kaaaha, ndo tetesi zilizozagaa mujini mkuu, hebu twambie wewe sababu unayoifahamu basi