Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,962
kama umekutana na muuza mwili pesa ndo kila kitu, lakini kama umekutana na mpenzi basi nafsi ya pesa ni ndogo sana ili kukamilisha mahitaji ya msingi
Class kitu gani wewe? Hebu taja hiyo thamani ya papuchi yako...si ajabu hata mpiga debe anaweza ku afford.
nina mashaka kama wewe ni kidume kweli.........,
una haki ya kuwa na mashaka mpakapale utakapokuwa prooved wrong kama mie nilivuokuwa na mashaka kuwa wee ni mzuri
W H A T?????
naona umefika mbali ndugu, heshima nikitu cha bure!!
baada ya kuwa na mashaka na mimi kuhusu uzuri wangu what did you prove at the end of the day
IN YOUR DREAMS BOY! IN YOUR WILDEST DREAMS If wishes were horses even baggers could ride.
hapana hujanielewa...wat i mean ni kwamba kila mtu hapa ana haki ya kudoubt mwenzie
ulinganisho wa pesa kila mtu ana kiwango chake (maana mwingine anaweza kuona jamaa yake ana pesa kumbe kwa mwingine ni vijisenti)... wanaosababisha wanawake waone pesa ndo kila kitu ni ninyi wanaume wenyewe... maana utakuta mtu kakupenda ukiwa huna pesa mkaendelea vizuri na maisha yenu lakini inatokea unaanza kupata pesa unasahau upendo mliokuwa nao unatafuta wanawake wengine tu kwa sababu una pesa ya kuwapa maana umepata kiburi kwamba pesa ndo kila kitu... kwa hiyo ni NYIE WANAUME NDO MNASABABISHA PESA KUONEKANA NDO KILA KITU....
okay........
but were my doubt wrong or right
Ndo nawawinda aisee nije ni burn paper trail chronicles na wabeibe...umenichekesha aisee😀Mapenzi bila pesa yanawezekana lakini Pesa ndio haswaaaa hunogesha penzi......natoa wito kwa kaka zangu waongeze bidii kutafuta hela kwani bila hela duniani ni shida Hasa kwa maisha ya mahusiano..
taja bei watu waingie kwenye punani au die trying lol
HAHAHAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!! Rich guys hawaombi quotation wanatoa ofa!!!!!!!!!!
Nilichokisema ni kile kinachoendelea mtaani, sasa ni vibaya kuiongelea hali halisi?wengi wanaoachwa as hawana hela ni wakaka.......binafsi naweza kuwa ni mfuasi wa beijing ila wenzangu je? kila siku mnachunwa mtaani.....sasa si ni heri mtambue tu mzitafuteMbona akina kaka peke yao?wewe unapingana na terms za beijing conference?sasa kama dependency in 100% kweli jinsia yenu itajikomboa?automatically jinsia yenu itaendelea kutawaliwa hadi mwisho wa dunia cos dependency ndo nature yenu and its in ur veins u inevitable u cannot deny it!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
taja bei bwana mbona mnaringa watu wachukue bidhaa hizo
Hahaaaaaaaaaaaaa! Mambo ya digitali you surely need money to be loved!
Embu jaribu ukiwa umepaukaaa uwazukie wadada corporate wakipata lunch Marry Brown My dear even with a PHD and the best personality you wont get any!
But if you roll in well tailored suit, expensive shoes, designer watch n perfume, nice car, Blackberry Z 10 or I 6 or an S4 or both at ones, Trust me you will dine with the queens!
Though we long for thins we dont see like love, but we damn sure like what we see!!!!!!!!!!!!!!!
huyu@notifeki anakuwaga na mambo ya kimburula kweli maneno yake ni kama kinyleo kipo pa mdomo
ye akijibiwa mbofu mofu anaanzisha na thread
msamehe bure@lady doctor wangu
Ndo mana kugegedwa hakutaisha mnapenda vya kuona,sasa kama leo hii blacberry E 10 akitokea mshikaji wa E 11 wa e 10 sensibly itabd aachwe ndo sifa tu kitaa yule mdada anagegedwa hd sukari guru yake inaelekea kuisha!!-what I min kwamba no love hapa ni TAMAA na dhiki zenu zinawafanya mdharirishwe na kuwa dependant!!sorry for u all Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums